Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,572
- 16,047
- Thread starter
- #21
Mshana Jr badilikeni, jifunzeni kwa Dkt Magufuli, msi kopi kila kitu toka mataifa yaliyoendelea. Mnapaswa kuisapoti serikali ktk juhudi za kuleta maendeleo, kuweni kama tunavyoweza kuchangamana kwa dini au makabila, sifieni pale ambapo mnaona serikali ya CCM imetekeleza ahadi yake, au onesheni mbadala wa jambo ambalo mmefanya utafiti na kuona lina faida kwa nchi. Acheni kutukana watanzania maana nyie ni wachache. Kwa ufupi kwa siasa mlizoendesha tangu 2015, wapinzani mnanuka MAVI.