Raha tuliyonayo wana CCM kuelekea 2020

Mudawote

JF-Expert Member
Jul 10, 2013
10,029
12,480
Great Thinkers,

Kwa heshima ya jukwaa hili na weledi wa ma GTs’ JF, ninaomba tuungane kusherehekea ushindi mnono wa CCM kuelekea 2020 kwa sababu:
1. CCM imeweza kutekeleza ahadi zake zote za 2015
2. CCM inamgombea urais anayekubalika 100% na hana mpinzani ndani na nje ya chama.
 
Great Thinkers,

Kwa heshima ya jukwaa hili na weledi wa ma GTs’ JF, ninaomba tuungane kusherehekea ushindi mnono wa CCM kuelekea 2020 kwa sababu:
1. CCM imeweza kutekeleza ahadi zake zote za 2015
2. CCM inamgombea urais anayekubalika 100% na hana mpinzani ndani na nje ya chama.
Mgombea tayari mnae? Hivi ninani vile? Magufuli au Membe?
 
Great Thinkers,

Kwa heshima ya jukwaa hili na weledi wa ma GTs’ JF, ninaomba tuungane kusherehekea ushindi mnono wa CCM kuelekea 2020 kwa sababu:
1. CCM imeweza kutekeleza ahadi zake zote za 2015
2. CCM inamgombea urais anayekubalika 100% na hana mpinzani ndani na nje ya chama.
GASHO
 
Great Thinkers,

Kwa heshima ya jukwaa hili na weledi wa ma GTs’ JF, ninaomba tuungane kusherehekea ushindi mnono wa CCM kuelekea 2020 kwa sababu:
1. CCM imeweza kutekeleza ahadi zake zote za 2015
2. CCM inamgombea urais anayekubalika 100% na hana mpinzani ndani na nje ya chama.
Hii ndiyo raha yenu
tapatalk_1582299881767.jpg
1582194705434.jpg
 
Great Thinkers,

Kwa heshima ya jukwaa hili na weledi wa ma GTs’ JF, ninaomba tuungane kusherehekea ushindi mnono wa CCM kuelekea 2020 kwa sababu:
1. CCM imeweza kutekeleza ahadi zake zote za 2015
2. CCM inamgombea urais anayekubalika 100% na hana mpinzani ndani na nje ya chama.
Nobody knows tomorrow. Hata kwenye Titanic walikuwa na raha hivyo hivyo.
Masaa machache baadae ikawa shubiri, na historia ikaandikwa.
Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke.
Kuti la mazoea ndilo humuangusha mgema
 
Great Thinkers,

Kwa heshima ya jukwaa hili na weledi wa ma GTs’ JF, ninaomba tuungane kusherehekea ushindi mnono wa CCM kuelekea 2020 kwa sababu:
1. CCM imeweza kutekeleza ahadi zake zote za 2015
2. CCM inamgombea urais anayekubalika 100% na hana mpinzani ndani na nje ya chama.
Mudawote kumbuka hili na jitahidi sana usilisahau: WAKATI SI MILELE

Jr
 
Kwa Yale madudu yanayopikwa na tume ya taifa ya uchaguzi naunga mkono 100%. Ulisikia wapi wakala Wa chama cha siasa kupewa nakala ya matokeo ya mgombea wake Ni hiari? Kuna maana gani ya kuwa wakala? Kiukweli ccm kuitoa madarakani kwa kura itachukua muda.ccm Ni chama dola.Kinasimamiwa na vyombo vyote vya dola.Watanzania wanaoipenda nchi yetu kwa dhati tuwaombee sana wapinzani Wa kweli, wako katika kipindi kigumu sana .
 
...baba lao
Kwa ile clip ya H. Polepole na wenzake wakiubugu..
Wakiutumia ule mwimbo na kuweka lyrics zilizobomba zaidi za wa chama chao.. watavutia wengi..
 
Great Thinkers,

Kwa heshima ya jukwaa hili na weledi wa ma GTs’ JF, ninaomba tuungane kusherehekea ushindi mnono wa CCM kuelekea 2020 kwa sababu:
1. CCM imeweza kutekeleza ahadi zake zote za 2015
2. CCM inamgombea urais anayekubalika 100% na hana mpinzani ndani na nje ya chama.
Kanajidanganya kama nikivyojidanganya mimi kukagegeda ka dada Mudawote nikiamini ni kasichana kumbe kamezeeka safari hii mpaka maini! Mwenzio anabuni mbinu za kuiba kura, Mbembe hajampa usingizi kabisa! Akiliwaza li Tundu ndiyo halali kabisaàa!
 
Mudawote kumbuka hili na jitahidi sana usilisahau: WAKATI SI MILELE

Jr

Upo Kaka.. salamu kwako
Anafurahia yajayo chini ya miezi sita ijayo..
.. hapo mnapigiwa mix ya

Mbele kwa mbele.. Kwangaru ya Mh. Magufuli... na Baba lao(ka waliyocheza Mr. Polepole na wenzake)
🎹🎹🎹🎼🎼🎵🎶🎷🎸🎺🎙🎧🎼🎼🎹🎹🎹

😃💃🏽😃💃🏽😃💃🏽
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Great Thinkers,

Kwa heshima ya jukwaa hili na weledi wa ma GTs’ JF, ninaomba tuungane kusherehekea ushindi mnono wa CCM kuelekea 2020 kwa sababu:
1. CCM imeweza kutekeleza ahadi zake zote za 2015
2. CCM inamgombea urais anayekubalika 100% na hana mpinzani ndani na nje ya chama.
Huu mwandiko tu ni ushahidi tosha kuwa ww ni mataga tu

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
 
Back
Top Bottom