mangosongoo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 257
- 456
Kwayeyote yule ambaye hakupata upendo kwenye mahusiano.kama mm mwanzo kweli tulikosa mambo mengi ...!!naomba kusema kwamba nafaidi sana na kufurahia sana.raha ya mahusiano ,mmpendane ,muheshimiane...mkosoane,muelimishane,!!
Mungu amuweke huyu mtu aliyeniletea huu upendo.
Mungu amuweke huyu mtu aliyeniletea huu upendo.