Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
hapa bongo bila kuwa fisadi au kuwa na hela za majini huu mzigo hununui
ni pesa ngapi?
hapa bongo bila kuwa fisadi au kuwa na hela za majini huu mzigo hununui
Aisee?Kuna watu wapo njema...Nimepisha na kitu kama hii mkoa mmoja kanda ya Kaskazini. Krismasi njema!![]()
hahaha! ..... very true ..... inatembea kwenye barabara zipi? maana hizi sports cars huwa ziko chini sana kwa madhumuni ya SPEEDHivi na haya matuta yetu (yasiyo na akili) ya barabarani huwa inayapita kweli?
Usisahau kumjengea na barabara..lol