KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,149
mnaingia mwaka 2013 mkiwa mmepanda bus la ukabila na urangi! shame on you guyzMsomali Mtanzania?,hawezi kuwa mwenzetu!
mnaingia mwaka 2013 mkiwa mmepanda bus la ukabila na urangi! shame on you guyzMsomali Mtanzania?,hawezi kuwa mwenzetu!
Hivi na mimi naweza kwenda Somalia/India nikakubalika mpaka kugombea uongozi?
Au mtoto nitakayemzaa Somalia/India atakubalika hivyo?
Tatizo tulilonalo baadhi yetu ni ufinyu wa kuelewa kwani kujua ASILI ya mtu sio UBAGUZI.Udini, ukabila, rangi ya mtu na ubaguzi wa kujumla wa binadamu, hautakiwi hapa Tanzania, mtanzania sio lazima awe mbantu wa Tanganyika, anaweza kuwa mweupe, mwarabu, msomali, mwanamke, shoga, mkristu au muislamu.
Hio ndio siri ya sisi wabongo kutokuwa na mavita ya kijinga kijinga mpaka leo, sijui wengine wataelewa haya lini....!
Acha UKASUKU huo.mnaingia mwaka 2013 mkiwa mmepanda bus la ukabila na urangi! shame on you guyz
Mkuu ukifuatilia sana hilo utawapoteza watanzania wote waishio mipakani maana hivyo vizazi vikirudishwa nyuma wengine tutakua wa south africa bure.
Someni Haya maneno ya mzee John Kitime yanaweza kuwasaidia pa kuanzia kuhusu hUYU ADEN mnaembagua kutokana tu na rangi yake.......
Zamani wakati nasoma Tabora enzi zile za miaka ya sabini tulikuwa tunakwenda kuangalia mazoezi ya Segere Matata. Wakati ule watoto au wanafunzi hatukuruhusiwa kuingia Dansini hivyo mara nyingi kama kulikuwa na dansi tuliishia nje . tuliusikiliza muziki kwa nje na mara nyingi tulikaa katika baraza ya mama mmoja maarufu sana Tabora mama Adeni. Mama yake (Ismail Aden Rage huyu wa Moro star). Mama huyu alikuwa na Hoteli iliyoitwa Tanzania Hotel iliyokuwa mtaa wa Rufita. kwa wale wanaojua Tabora na hulka zake, katika hoteli ile kulikuwa na Baraza kubwa sana ya kahawa. Tanzania hoteli ilikuwa pua na mdomo kutoka Lumumba uliokuwa ukumbi wa Tabora Jazz-JOHN KITIME.
Wote wanaopinga hii hoja ya kuhoji uraia ni WAPAMBE wake, ndiyo maana wanataka nchi ishikwe na wakimbizi kama watz original hawana akili!! wanatoa povu kutetea bila sababu!!! kunaubaguzi gani hapo?
USA ni nchi tofauti. Ile ni nchi iliyojengwa na wahamiaji. Niambie UK, Germany, Italy, n.k.Kaburu ni kaburu haijalishi rangi yake ,ni upuuzi kubagua watu angalieni taifa kkama Marekani Obama hana asili ya hilo taifa lakini wamemchagua kuwa Rais huu ubaguzi wa kipuuzi tunautoa wapi ?
Nimemsikia mweshimiwa huyu kwamba eti yeye baba yake ni msomali na mama ake ni mmasai,na kwamba yeye kazaliwa Tabora mbaya zaidi anadai kuwa wakati mama yake rageh yuko kigoli alifiwa na mama yake yani bibi yake rageh mzaa mama na babu yake Rage akakataa kuoa mpaka mama yake rageh aolewe!! swali hivi hili linawezekana kweli kwa wamasai wenye kuoa wake wengi??
Mbaya zaidi mama ake Rage alilelewa na bibi ake aitwae bint ahmed hivi kuna wamasai waislamu kweli miaka hiyo ya 1950??mi naona historia hii ina walakini pili Rage anazungumza kisomali vizuri na hii haiwezekani mpaka baba na mama wawe wanaijua lugha hiyo au kama mzazi mmoja basi lazima atakuwa ni mama mana ndio anaeshinda na watoto,sasa anasema mama yake ni mmasai hivi kuna msomali miaka hiyo ya 50s aliweza kuoa mmasai kweli??mana mtu wa mwisho msomali kuoa ni msomali mwenzake kama akkosa mzungu au mhindi au mwarabu!!
Je Rage sasa hivi mke wake ni msomali au ni wa jamii gani?? Wajuzi mnaomjua vizuri tujuzeni tafadhali.
==================================================================================USA ni nchi tofauti. Ile ni nchi iliyojengwa na wahamiaji. Niambie UK, Germany, Italy, n.k.
Pia USA unapata nafasi kama aliyopata Obama kwa merit. Na Obama amewashinda wapinzani wake tukishuhudia.
Unataka kuniambia Rage ndie the smartest guy in Tabora? Pamoja na background yake ya kwenda jela n.k.? Au tunathamini mtu kwa pesa yake? Au Usomali wake ndio mtaji tusionekane tunambagua?
Usomali ni kitu kimoja, ebu nitajie kitu gani cha pekee kinachomfanya Rage awe mwakilishi bora au kiongozi bora?
Zamani walikuwepo akina Jamal, Al Noor Kassum, tuliwaona performance yao mbona hatukulalamika?
Nimemsikia mweshimiwa huyu kwamba eti yeye baba yake ni msomali na mama ake ni mmasai,na kwamba yeye kazaliwa Tabora mbaya zaidi anadai kuwa wakati mama yake rageh yuko kigoli alifiwa na mama yake yani bibi yake rageh mzaa mama na babu yake Rage akakataa kuoa mpaka mama yake rageh aolewe!! swali hivi hili linawezekana kweli kwa wamasai wenye kuoa wake wengi??
Mbaya zaidi mama ake Rage alilelewa na bibi ake aitwae bint ahmed hivi kuna wamasai waislamu kweli miaka hiyo ya 1950??mi naona historia hii ina walakini pili Rage anazungumza kisomali vizuri na hii haiwezekani mpaka baba na mama wawe wanaijua lugha hiyo au kama mzazi mmoja basi lazima atakuwa ni mama mana ndio anaeshinda na watoto,sasa anasema mama yake ni mmasai hivi kuna msomali miaka hiyo ya 50s aliweza kuoa mmasai kweli??mana mtu wa mwisho msomali kuoa ni msomali mwenzake kama akkosa mzungu au mhindi au mwarabu!!
Je Rage sasa hivi mke wake ni msomali au ni wa jamii gani?? Wajuzi mnaomjua vizuri tujuzeni tafadhali.
Mimi sina asili hata tone ya KIHINDI, lakini nazungumza URDU kushinda wahindi wa TZ, jee Usambaa wangu una utata. KUna Jamaa wa KI NGUU pale ilala, Baba na Mama wote ni wanguu, anazungumza kisomali utadhani katoka Hargeisa leo, JEE UU TZ wake unautata. Ndugu yangu Huna lolote la kusema, basi tuu tunawaonea wasomali sijui kwanini. Hutasikia hapa Jukwani wakisemwa Wabunge wa Kihindi,Kiarabu, chotara wa Kizungu nk. Bali wasomali tuu ambao nao ni wa Africa wenzetu.
Jamni Kasumba hii ya Ajabu, Tutazidi kufa masikini kwa kuoneana wivu
Kila kitu kinawezekana!. Nenda Arusha, mitaa yote mbele ya soko la Arusha ni nyumba za wasomali watupu!, wamezaliwa Arusha, wamekulia Arusha na watafia Arusha! ni Watanzania Wenzetu!.
Nenda umasaini eneo la Ngaramtoni, utashuhudia Wasomali pure, wanaongea Kimasai safi!, wamezaliwa umasaini, wamekulia umasaini na watafia umasaini, ni Watanzania wenzetu!.
Nenda uhindini, kuna watoto wamezaliwa uhindini, wamekulia uhindini lakini hawazungumzi Kiswahili ila ni Wanzania wenzetu!.
Rage ni Msomali Mtanzania mwenzetu!, Kinana ni Msomali Mtanzania mwenzetu na Bashe ni Msomali Mtanzania mwenzetu!. Tusiwasakame bure kutokana na rangi zao!, kuna Warundi, Waganda, Wakenya, Wanyarwanda, Wajaluo, Wazaire, Wamalawi, Wazambia, Wamsumbiji kibao wako kwenye madaraka makubwa serikalini tena wengine mpaka idara nyeti!, wamepose kama Watanzania, hatuwasakami kwa sababu tuu wamefanana na sisi!, kitendo cha kuwasakama Wasomali na Wahindi tuu, huu pia ni ubaguzi mbaya!.
Pasco.