RAGE atoa tamko zito

RAGE atoa tamko zito

kuhutubia mkutano na bastola kiunoni, kugombea mlingoti wa bendera.

images



aden_rage.jpg
 
  • Kama Rage anayoyasema ni kweli basi anasahau kwamba anapaswa kuwajibika kwa timu kufanya vibaya... timu hii Rage na wenzake wameikuta katika hali nzuri lakini matatizo yao na wachezaji yanasababisha wahezaji waboronge.. hakuna kitu ambacho simba wamefanya kosa kama kumrudisha JULIO... Julio ni nuksi... anaingilia kazi za makocha ... yeye pale ameteuliwa kama timu meneja lakini anaingilia maswala yasiyo muhusu.. achaneni na julio
ni kweli amesema,nilimsikia kupitia sports xtra ambao walisema walirekod mahojiano yake na PAWA BREKIFASTI
 
Tokea Lini CHOKO Likakosa Nuksi Jitu limeshikishwa vikuta na Magram akaja Kibadeni nae kaliinamisha vya kutosha hebu muulizeni na Umri wote alionao ana mke/mchumba au Mpenzi au hata mtoto wa KUSINGIZIWA Hilo ndo NUKSI Kubwa

duh,u mean MENEJA WA SIMBA AU MWENYEKITI WA SIMBA?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom