brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,393
RAGE: nijiuzulu kwani mimi nacheza namba ngapi uwanjani?
Wanachama ndio walionichagua tena kwa kura nyingi, sasa iweje niondoke katika kipindi hiki tena timu ikitakiwa kwenda Angola na huku tiketi za ndege pamoja na viza hawana?
Nikitaka kuacha nitaitisha mkutano na wanachama na kuwaambia mambo yamenizidi naomba nang'atuke
SOURCE: akiojiwa clauds fm kwenye PB
Wanachama ndio walionichagua tena kwa kura nyingi, sasa iweje niondoke katika kipindi hiki tena timu ikitakiwa kwenda Angola na huku tiketi za ndege pamoja na viza hawana?
Nikitaka kuacha nitaitisha mkutano na wanachama na kuwaambia mambo yamenizidi naomba nang'atuke
SOURCE: akiojiwa clauds fm kwenye PB