Simaba nao, wanamchukuaje huyu. Shauri yao.Kufuatia kikao kilichokuwa kikiendelea kakika Club ya Simba maamuzi yamefikiwa ikiwa ni pamoja na kumsimamisha Mwenyekiti Aden Rage katika nafasi yake kwa kwenda kinyume na kanuni na taratibu za uongozi.
Chanzo. ITV.
...kame wazidi usaniii viongozi wengine, wakatimue tu karudi al shabab....Aisee huyo jamaa hafukuziki.
iyo ishu hapa sio sehamu yake peleka kule kwenye jukwaa la michezo
Kufuatia kikao kilichokuwa kikiendelea kakika Club ya Simba maamuzi yamefikiwa ikiwa ni pamoja na kumsimamisha Mwenyekiti Aden Rage katika nafasi yake kwa kwenda kinyume na kanuni na taratibu za uongozi.
Chanzo. ITV.
Simaba nao, wanamchukuaje huyu. Shauri yao.
Alipokubali kutumiwa na mwigulu kupeleka timu jimboni kwake alidharaulika. Simba haina chama.