Rage Atimuliwa Simba!!!

Rage Atimuliwa Simba!!!

1Mwenyekiti wa simba
2 Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Tabora
3 Mbunge
4 mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi Tabora ccm
ANA TAMAA YA MADARAKA HUYU BABU.
 
Kufuatia kikao kilichokuwa kikiendelea kakika Club ya Simba maamuzi yamefikiwa ikiwa ni pamoja na kumsimamisha Mwenyekiti Aden Rage katika nafasi yake kwa kwenda kinyume na kanuni na taratibu za uongozi.
Chanzo. ITV.
Vipi hakutoa ile Bastola yake katika hicho kikao au hakuwepo wakati wananchinjia baharini?
 
ni bora kama huyu jamaa wamempiga chini coz sidhani kama alikuwa anayajua majukumu yake kisawasawa kama kiongozi wa klabu kubwa ya mpira wa miguu kama simba hapa tz,kikubwa kwake ilikuwa ni sifa tu na kuifanya simba kama sehemu yake kujipambanua zaidi kisiasa ni vizuri akajipumzikid tu sasa
 
Huyu AL Shabab huyu....Kaidhalilisha Simba mpaka basi..Ingawa najua ni ngumu kwake kung'oka....
 
Wanasimba rage no mtoto wa mjini. Subirini backfire. lazima atarudi
 
Hali ya hewa msimbasi si shwari kabisa mashabiki na wapenzi wa Simba hawaelewani.
 
ImageUploadedByJamiiForums1384856510.836806.jpg
Kwa hivyo alivyo vaa anaweza kuja Msimbazi na kusimamia kikao chochote na akatazamwa tuu? Maamuzi ya kutoa Rage yamechelewa sana kutolewa.
 
[h=5]RAGE :: "Hiyo Kamati Tendaji inaongozwa na nani au ipo chini ya nani?
Sasa na mimi nawasimamisha uanachama wajumbe wote wa kamati iliyokaa jana kikao cha kitchen party"[/h]
 
Huu mtaa japo haunihusu nimefuata umbeya. Nataka nione jamaa yangu Katavi anasemaje!
 
Back
Top Bottom