Rafiki yangu kamususa mke

Wachu macheke

Senior Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
171
Reaction score
347
Rafiki yangu kamususa mke baada ya kugundua anamchiti na mke amegoma kuomba msamaha ila jamaa amesema huyo mke wake anakaa uchi kama njia ya kumrudisha jamaa kwenye mstari na huyo jamaa amejikuta akirudisha mahusiano huku akijua fika mke wake anamchiti, japo amesema anampango wa ku muvu lakini anaomba ushauri afanye nini kujiepusha na huyo mke kwa mda huu ambao bado anajipanga kuondoka
 
Huyo jamaa ni wewe.

Yaani tukushauri muachane halafu mkirudiana utuseme sisi ndo tulikishauri.
 
Avumilie tuu na akae uchi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…