Rafiki yangu anakaribia kumfumania mkewe

Rafiki yangu anakaribia kumfumania mkewe

Mimi bwa nilifungulia duka la dawa muhimu dharau zikaanza nikiwa safarini sisalimiwi mpaka nianze mimi baadae nikasimama kazi nikaona michezo ya ajabu nikawa mpole siku nikaja nikamkuta mtu ndani alijua nimesafiri kesho yake nikamwambia naona hili duka limekupa wateja mpaka wa nyumbani Sasa nenda kwenu duka nikahamisha nikamwambia hao wanaokuona mzuri kwa huduma zangu acha nao wakuhudumie wale vya halali saivi kachoka yupo tu Hana mbele Wala nyuma dukani nimeweka mtu anauza maisha yanaendelea na hajui lilipo
 
Mkuu kwanini umeleta hizi habari humu? Bila shaka wewe ni J siyo pouwa bro
 
Tena mtakayemfumania kama anaelewana vizuri na mkewe,ile mtakapomaliza mtoza faini huyo mgoni, basi mke wa mgoni atajitokeza na kumshika ugoni mke wa jamaa yako kwa kosa la kuzini na mumewe na atawalamba faini kubwa kuliko mliyomtoza nyie!

Sasa Mkuu Mke Wa Jamaa akija kumtoza faini Mke wangu Mimi inanihusu nini kwa wakati huo?

Akitaka akamfunge, ila Mimi sitamchangia hata kumi.!
 
Sasa Mkuu Mke Wa Jamaa akija kumtoza faini Mke wangu Mimi inanihusu nini kwa wakati huo?

Akitaka akamfunge, ila Mimi sitamchangia hata kumi.!
Hadithi yenyewe iko'ivii?

Nilishaishuhudia namna jamaa walivyosumbuana!

Jamaa aliwekewa mtego wa fumanizi, mtego ukanasa.

Si unajua penati zake huwaga kibwa kubwa, inategemea na mhemuko wa mlalamikaji, yeye ni kutaja tu hela kubwa kukomoa.

Mwenye mke akadai kulipwa millioni3 tena enzi hizo, jamaa kaitisha wapambe wake wakajichanga wakalipa.

Hapo hapo mke wa mgoni akazuka kumkamata ugoni mke wa mlalamikaji aliyekwishalipwa fidia kwa ushahidi ulio dhahiri.

Mke huyo akataka fidia ya millioni5!

Tangia wakati huo ndipo nilipofahamu kuwa kesi za ugoni hazina maana zaidi ya kudhalilishana tu.

Ni heri kuzuia ugoni usitendeke kuliko kuandaa fumanizi.

Sasa watu wengi hawafahamu kuwa ugoni mahakamani siyo jinai ni kesi ya madai.

Hata ukimkamata ugoni mtu ukampekeka polisi, hampokelewi mnaelekezwa kwenda mahakamani.
 
Jamaa yako hana akili! Mke hasomeshwi wala hapewi njia ya kutengeneza pesa tena mbaya kwa kusafiri safiri!
Ulweso soma hiki kisa utanielewa

Waambie ndugu zako hao


Eti unamuonea huruma mwanamke kwa kumfungulia biashara ya kusafiri safiri

Embu anajua ht wanawake jinsi walivyo ungrateful

Ishi nao kwa akili hao, wao hizo akili hawana kabisaaaa wanategemea zEtu
 
Waambie ndugu zako hao


Eti unamuonea huruma mwanamke kwa kumfungulia biashara ya kusafiri safiri

Embu anajua ht wanawake jinsi walivyo ungrateful

Ishi nao kwa akili hao, wao hizo akili hawana kabisaaaa wanategemea zEtu
Wanahisi wanawake wana busara kama sisi, hell noh a woman will fucq your brains off daily!
 
Hadithi yenyewe iko'ivii?

Nilishaishuhudia namna jamaa walivyosumbuana!

Jamaa aliwekewa mtego wa fumanizi, mtego ukanasa.

Si unajua penati zake huwaga kibwa kubwa, inategemea na mhemuko wa mlalamikaji, yeye ni kutaja tu hela kubwa kukomoa.

Mwenye mke akadai kulipwa millioni3 tena enzi hizo, jamaa kaitisha wapambe wake wakajichanga wakalipa.

Hapo hapo mke wa mgoni akazuka kumkamata ugoni mke wa mlalamikaji aliyekwishalipwa fidia kwa ushahidi ulio dhahiri.

Mke huyo akataka fidia ya millioni5!

Tangia wakati huo ndipo nilipofahamu kuwa kesi za ugoni hazina maana zaidi ya kudhalilishana tu.

Ni heri kuzuia ugoni usitendeke kuliko kuandaa fumanizi.

Sasa watu wengi hawafahamu kuwa ugoni mahakamani siyo jinai ni kesi ya madai.

Hata ukimkamata ugoni mtu ukampekeka polisi, hampokelewi mnaelekezwa kwenda mahakamani.
Ok nimekuelewa..Ila bado sijajua mume wa mke aliyefumaniwa analipaje fidia kwa mke wa mngoni?

Au huyo baada ya kulipwa akamsamehe mkewe hapo ndo na mke wa jamaa aliyefumaniwa akaja kudai?
 
Ok nimekuelewa..Ila bado sijajua mume wa mke aliyefumaniwa analipaje fidia kwa mke wa mngoni?

Au huyo baada ya kulipwa akamsamehe mkewe hapo ndo na mke wa jamaa aliyefumaniwa akaja kudai?
Haki sawa kwa wote, ndivyo sheria zilivyo.

Huyo mume wa mke aliyefumaniwa ndiye mlalamikaji, ndiye aliyeandaa fumanizi na kukamata ugoni na ndiye anayedai fidia.

Sasa kinachojitokeza hapo ni mke wa mgoni naye anazuka kuja kumkamata ugoni mke wa mlalamikaji kuzini na mumewe!

Yaani ugoni wa kwanza unakuwa ni wanaume kwa wanaume, huu ugoni wa pili unakuwa ni wa wanawake kwa wanawake.

Hili drafti likichezwa sawasawa, hela aliyolipwa mlalamikaji inarudi kwa mlalamikiwa kwa kesi iliyoibuliwa na mke wa mlalamikiwa.

Hapo mume kwa ghadhabu anaweza kusema mbele za watu "silipi" lakini kama bado anapenda kuendelea kuishi na huyo mwanamke, hela huitoa kwa siri kama ambavyo mataifa huwalipa "kikombozi" maharamia ya kisomali yanaposhikilia meli zao.

Kama mume(mlalamikaji) ataamua kukamata ugoni na kuivunja hiyo ndoa, ndiyo jukumu la kulipa hiyo faini litabaki kwa huyo mwanamke mfumaniwa.

Sijui kwa maelezo haya umeelewa point mkuu!
 
Nia ya kufumania ni nini?


Kama hawezi kumuacha mwambie ajitulize (kwanza angekuwa na jeuri ya kumuacha huyo mwanamke wala asingehitaji kufanya fumanizi!!!!)
 
We unadhani jamaa atafumania akimaliza atoe fain Kisha ashike mkono limkewe aridi nyumbani??

Anatimulia huko huko Kama mke wa mngoni atafungua madai wanamtafuta aliyetombwa na atalipa mwenyewe.
Ulichosema kweli hutokea kwa baadhi ya wanandoa kuachana baada ya fumanizi.

Je tusemeje kwa wale wanaofumaniana na kusameheana na kuendelea kuishi pamoja?
 
Mwanamke usipokuwa na hela atachepuka na mwenye hela ila ukiwa na hela anawaza jinsi gani atatumia pesa kwa uhuru au peke yake,
Refer to Jacqueline mengi na yule mke wa msuya
Wanawake watatumaliza hawa.
 
Mimi bwa nilifungulia duka la dawa muhimu dharau zikaanza nikiwa safarini sisalimiwi mpaka nianze mimi baadae nikasimama kazi nikaona michezo ya ajabu nikawa mpole siku nikaja nikamkuta mtu ndani alijua nimesafiri kesho yake nikamwambia naona hili duka limekupa wateja mpaka wa nyumbani Sasa nenda kwenu duka nikahamisha nikamwambia hao wanaokuona mzuri kwa huduma zangu acha nao wakuhudumie wale vya halali saivi kachoka yupo tu Hana mbele Wala nyuma dukani nimeweka mtu anauza maisha yanaendelea na hajui lilipo
Huu Uzi Ni mzuri kbsa Seema tu ujaweka vzr ungeanzisha kbsa Uzi ueleze mambo yaliyokutokea
 
Huu Uzi Ni mzuri kbsa Seema tu ujaweka vzr ungeanzisha kbsa Uzi ueleze mambo yaliyokutokea
Dah mkuu acha tu aisee sitaki kuwaza sana nilikotoka ila nimekikuta tu nakumbuka baada ya kuona huu uzi wa rafiki wa mkuu
 
Dah mkuu acha tu aisee sitaki kuwaza sana nilikotoka ila nimekikuta tu nakumbuka baada ya kuona huu uzi wa rafiki wa mkuu
Pole Sana yaan mkeo alimleta mwanaume ndani kwako aje amtafune akijuwa kuwa umesafiri duh mbn ilikuwa ufanye mauaji kbsa ya kimbari
 
Back
Top Bottom