Rafiki yangu anakaribia kumfumania mkewe

Rafiki yangu anakaribia kumfumania mkewe

Eti fumanizi!

Kama jamaa yako kaoa kahaba unategemea nini?

Na hapo siyo fumanizi bali ni kujidhalilisha tu.

Na tatizo la kesi za fumanizi zipo kwenye kundi la kesi za madai na si jinai, hivyo haifungi wala kuweka mtu ndani.

Kwa hiyo usiishupalie sana ukadhani kuna kitu jamaa yako atapata baada ya kufumania, sana sana ni ndoa kuvurugika tu.

Tena mtakayemfumania kama anaelewana vizuri na mkewe,ile mtakapomaliza mtoza faini huyo mgoni, basi mke wa mgoni atajitokeza na kumshika ugoni mke wa jamaa yako kwa kosa la kuzini na mumewe na atawalamba faini kubwa kuliko mliyomtoza nyie!

Na huo ndio mchezo wa hayo mambo, vile ambavyo unakuwaga.

Shauri zako, usije kusema hatujakueleza.
Usitishe watu ili waogope kukufumania na mke wa mtu,tutakudaka tu.Jiandae kupata Cha mtemakuni.
 
matatizo yasikie kwa mwenzako.
hizo habari zako unaona rahisi sana.kuna jamaa kama wewe alikuwa anaongea hayo siku alipokuja kugundua mke wake anatafunwa na mimba sio yake.kwa aibu ya kejeli kuona yeye mstaarabu na mjanja kama wewe jamaa alijipiga kintanzi.
Umeona eenhh??.
 
Sikia ndugu, hapa nimeeleza kizoefu na si kwa mihemuko.

Haya jamaa kakamata ugoni, unadhani mwisho wake huwa ni nini?

Kama unaifahamu sheria juu ya mambo hayo, eleza kwa ufanisi ni manufaa gani mfumaniaji anaipata baada ya kufumania.

Mimi hizo kesi si mgeni nazo isee.
Na vipi asipofuata sheria??, Matharani akaamua kukodi Mabaunsa km wanne hivi, wafukua mitaro wamempe naye haki yake ili kumpinguzia nyege za kutafuna wake za watu.
 
Na vipi asipofuata sheria??, Matharani akaamua kukodi Mabaunsa km wanne hivi, wafukua mitaro wamempe naye haki yake ili kumpinguzia nyege za kutafuna wake za watu.
Hilo linawezekana, yaani jino kwa jino.

Ndiyo maana ya watu kujichukulia sheria mkononi kutokana na udhaifu wa baadhi ya sheria zilizopo.

Mfano wezi na vibaka wanauawa kwa kuchomwa moto kwa sababu sheria za kuwatia hatiani ni dhaifu kuliko matendo yao ya kuvunja sheria wanayofanya katika jamii.
 
Hilo linawezekana, yaani jino kwa jino.

Ndiyo maana ya watu kujichukulia sheria mkononi kutokana na udhaifu wa baadhi ya sheria zilizopo.

Mfano wezi na vibaka wanauawa kwa kuchomwa moto kwa sababu sheria za kuwatia hatiani ni dhaifu kuliko matendo yao ya kuvunja sheria wanayofanya katika jamii.
Si ndio hapo Mkuu!!!,ni muhimu kuangalia pia upande huo.Maana sio wote wanaokosewa wanafuata sheria.
 
Eti fumanizi!

Kama jamaa yako kaoa kahaba unategemea nini?

Na hapo siyo fumanizi bali ni kujidhalilisha tu.

Na tatizo la kesi za fumanizi zipo kwenye kundi la kesi za madai na si jinai, hivyo haifungi wala kuweka mtu ndani.

Kwa hiyo usiishupalie sana ukadhani kuna kitu jamaa yako atapata baada ya kufumania, sana sana ni ndoa kuvurugika tu.

Tena mtakayemfumania kama anaelewana vizuri na mkewe,ile mtakapomaliza mtoza faini huyo mgoni, basi mke wa mgoni atajitokeza na kumshika ugoni mke wa jamaa yako kwa kosa la kuzini na mumewe na atawalamba faini kubwa kuliko mliyomtoza nyie!

Na huo ndio mchezo wa hayo mambo, vile ambavyo unakuwaga.

Shauri zako, usije kusema hatujakueleza.
We unadhani jamaa atafumania akimaliza atoe fain Kisha ashike mkono limkewe aridi nyumbani??

Anatimulia huko huko Kama mke wa mngoni atafungua madai wanamtafuta aliyetombwa na atalipa mwenyewe.
 
Mnaambiwa kila siku msioe hamsikii, mnajifanya kenge kusikia kwwnu hadi damu itoke maskioni.

Mbaya zaidi unaoa demu mkali, na mbaya kuliko zote unampenda kuliko anavokupenda. Dem kama huyo angemzalisha akawa anajilia huyo single maza taratibu angepungukiwa nini au ni misifa tu.

Wacha achapiwe tu.
 
Mkute jamaa Ana bastola gloko 17 akili itawakaha sawa Kam jama angu mmoja mbeya alijiona anaweza kupambana na njemba linalokula mke wake kumbe jamaa Ni gaid Ana bastola alivyo gongewa tu mlango jamaa walingia kwa Kasi ili kumsupress kumbe njemba kashtuka kaweka bastola ready kashika gloko 17 yake kwa umakini jamaa walikimbia walitawa nyika kusiko julikana na Leo anatamani kurudiana na mke wake pmj na kwamb alimkuta gest
 
Aisee nyie acheni haya mambo, kutokana kuwa karibu na watu na sehemu niliyopo kuna jamaa kutoka mkoa x alimuwezesha mke wake kufanya biashara fulani kwenda mikoa fulani, baada ya biashara kukua mke kaanza kuleta zarau na kuwa bize sana na safari za huo mkoa.

Basi jamaa katupigia simu na kututumia picha kama yupo hiyo sehemu. Kwa kweli mwanamke ni mzuri sana na kokote anaitaji ulinzi kwa uzuri aliyo nayo.

Sasa jamaa naona kachanganyikiwa na maeneo tuliyopo mke wake anajiachia na mtu.

Jamaa anafunga safari kuja huku!

Nitakuja na mrejesho naelekea duka la vifaa vya magari kununua grisi
Hiyo grisi nayo mtaitumia kwenye fumanizi?
 
Mkute jamaa Ana bastola gloko 17 akili itawakaha sawa Kam jama angu mmoja mbeya alijiona anaweza kupambana na njemba linalokula mke wake kumbe jamaa Ni gaid Ana bastola alivyo gongewa tu mlango jamaa walingia kwa Kasi ili kumsupress kumbe njemba kashtuka kaweka bastola ready kashika gloko 17 yake kwa umakini jamaa walikimbia walitawa nyika kusiko julikana na Leo anatamani kurudiana na mke wake pmj na kwamb alimkuta gest
Kila mbabe na mbabe wake, huyo Jamaa 40 zake hazijafika tu, huweziamini pamoja na bastola yake kitachompata zikifika 40 zake.
 
Aisee nyie acheni haya mambo, kutokana kuwa karibu na watu na sehemu niliyopo kuna jamaa kutoka mkoa x alimuwezesha mke wake kufanya biashara fulani kwenda mikoa fulani, baada ya biashara kukua mke kaanza kuleta zarau na kuwa bize sana na safari za huo mkoa.

Basi jamaa katupigia simu na kututumia picha kama yupo hiyo sehemu. Kwa kweli mwanamke ni mzuri sana na kokote anaitaji ulinzi kwa uzuri aliyo nayo.

Sasa jamaa naona kachanganyikiwa na maeneo tuliyopo mke wake anajiachia na mtu.

Jamaa anafunga safari kuja huku!

Nitakuja na mrejesho naelekea duka la vifaa vya magari kununua grisi
Hiyo grisi kwa ajili ya kulainisha maeneo incase ikihitajika kufanya hvyo?
 
Back
Top Bottom