Rafiki yangu anaitwa mtoto wa mama...

Kuishi kwenye Nyumba ya wazazi ni kosa ktk maisha, hupumbaza akili, ajipange kwa kutafuta pesa, ili akapange aanze maisha yake, angetakiwa kwa sasa anajiandaa kuhamia kwenye Nyumba Yake au anabiashara imesimama anajipanga kujenga au kuhamia kwenye nyumba ambayo haitampa kero za kupanga.
mbona waarabu na wahindi wanaishi hivyo na wana hali nzuri ya uchumi kuliko sisi wazee wa kutafuta mali zetu bila kutegemea cha ndugu
 
Jamaa ni mtu ambaye muda mwingi anakuwa safarini kutokana na kazi yake ya udereva hivy ni vzr kubaki hapo kwao zaidi..
 
Mshauri abaki kwao mpka akiwa na watoto watatu ndiyo aende kwake.

Lkn mwambie atafute kiwanja aanze kujenga nyumba yake na asiwe na haraka ya kuondoka kwao


Akisumbua sana amwambie aende atatakako yy bado hajaamua kuhama
Hapo ni kwa wazazi hamna shida akitaka kujiachia aende naye hata safari moja moja anakoenda hata wakipati tu gari wanaanza

Au aimbie maiki gari ikiwa speed

Akuuuu
 
Kama jamaa hajajipanga ya nini kuharakia maisha na sehemu ya kuishi ipo. Labda kwa hapo aanze kujitegemea akiwa hapohapo hasa kwa chakula ili safari za mkewe kwenda nyumba kubwa zipungue na mkewe amtaftie ishu ya kufanya labda kukaa tu home nako kunamboa na kila muda kukutana na wakwe. Kwahivyo hapo jamaa ajiongeze nae aishi kama wapangaji wengine tu. Hiyo ni fursa ya kujipanga hapo hata kujenga atajenga
 
Back
Top Bottom