TZNi Shilingi za kitanzania au Kenya
Kwani haiwezekaniUnamaanisha anakuja Dar kuishi na familia ya watu sita wanaomtegemea na kwa mshahara wa laki moja themanini elfu? Huu ni mzaha.
Kwa Shilingi za Kitanzania Elfu Mia Moja Themanini (180,000/-)..?!Duh!. Jamaa atavuta mpunga mrefu sana. Hiyo hela anatakiwa kuwa na watchman, housegirl na houseboy na bado chaange inabaki nyingi sana.
Iwe familia ya watu 9.
Sehemu kuzuri kwake ni Masaki.
Kwa Tanzania hii ni pesa ndogo. Kwa sasa 1kg of rice ni kama TZS 3000, sykari 3000.
Mwambie abaki alipo. Maana anaweza kosa nauli ya kurud au njaa ikampeperusha