Tony Yeyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 723
- 544
Rafiki yangu wa karibu amekata tamaa katika kuta futa kazi kisa ana master degree ya management, kila anapoomba kazi wanamuambia yuko over qualified na wengine wanamkatisha tamaa kwamba kupata kazi ukiwa na master ni ngumu.
MSAADA WA MAWAZO WAITAJIKA WAKUU
MSAADA WA MAWAZO WAITAJIKA WAKUU