dickdickinyo
Senior Member
- May 19, 2015
- 118
- 53
Jamaa ana rafiki yake mzungu anatokea Marekani.Sasa wamemtembelea Tanzania kama wiki mbili sasa.Tatizo huyo rafiki yake ndugu yetu anamjengea mazingira magumu sana jamaa yetu.
Ni kama anataka jamaa aonje tunda la mkewe huyo mzungu. Hufika nyakati humwambia nanukuu."Hey buddy you wanna go out with my wife?You can go and dance and kiss her no problem.
Or you can go to Zanzibar for a week and enjoy.I will stay here working some stuffs.Sasa jamaa anajiuliza anachokitafuta huyu rafiki yake ni nini? Kwamba jamaa ale tunda au?
Au jamaa hana uwezo wa kutotolesha ndo mana anajenga mazingira kwa mkewe aliwe? Maana na mdada wa watu anaonyesha ushirikiano kuwa karibu kupita maelezo na mshkaji.
Sasa swali ni jamaa ale tunda au apotezee?
Ni kama anataka jamaa aonje tunda la mkewe huyo mzungu. Hufika nyakati humwambia nanukuu."Hey buddy you wanna go out with my wife?You can go and dance and kiss her no problem.
Or you can go to Zanzibar for a week and enjoy.I will stay here working some stuffs.Sasa jamaa anajiuliza anachokitafuta huyu rafiki yake ni nini? Kwamba jamaa ale tunda au?
Au jamaa hana uwezo wa kutotolesha ndo mana anajenga mazingira kwa mkewe aliwe? Maana na mdada wa watu anaonyesha ushirikiano kuwa karibu kupita maelezo na mshkaji.
Sasa swali ni jamaa ale tunda au apotezee?