Sawa nimekuelewa sas huyu baba namwambiaje??? Au namueka katika mazingira gani???Huyo kijana ni muoaji wa kweli? Asijekua anataka kumkomoa rafiki yake kupitia wewe.
Mzee anafamilia yake na hatokaa aiache, ataumia sana ukimweleza habari za kuolewa kwako uzuri binadamu tumeumbiwa kusahau, atasahau. Nnachokuhakikishia haitakua rahisi kusitisha mahusiano yenu na msipokua makini utaolewa na bado utaendelea na huyo baba. Fanya maamuzi yatakayokusaidia wewe sasa na baadae.
Thanks alooot umenikoshaHongera kwa kupata mume... Maadam mwenyezi Mungu keshakupatia wako, achana na mume wa mtu. Muujiza kama huo haujagi mara mbili... You need to move on and build your own family... Cha muhimu usimuoneshee dharau. Muite umshukuru kwa kukulea na kukuweka mjini kwa zaidi ya mwaka, pia mshukuru kwa kuwa kama daraja la kukutanisha na mumeo mtarajiwa... Mwambie kama atahitaji mchepuko mwingine unaweza kumtafutia mtu wa kuku replace lakini kuanzia sasa inabidi muheshimiane kama mashemeji. Ukitumia lugha nzuri kumueleza atakuelewa tu coz mtoto mzuri kama wewe huwezi kuwa mchepuko for life...
Thanks alooot... umenikoshaaHongera kwa kupata mume... Maadam mwenyezi Mungu keshakupatia wako, achana na mume wa mtu. Muujiza kama huo haujagi mara mbili... You need to move on and build your own family... Cha muhimu usimuoneshee dharau. Muite umshukuru kwa kukulea na kukuweka mjini kwa zaidi ya mwaka, pia mshukuru kwa kuwa kama daraja la kukutanisha na mumeo mtarajiwa... Mwambie kama atahitaji mchepuko mwingine unaweza kumtafutia mtu wa kuku replace lakini kuanzia sasa inabidi muheshimiane kama mashemeji. Ukitumia lugha nzuri kumueleza atakuelewa tu coz mtoto mzuri kama wewe huwezi kuwa mchepuko for life...
Aaaah acha uswahili weweeeeWanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana
babu menyewe ndiye huyu?bora uende kwa kijana

Nop..ishu nataka mnipange ninamuanzaje huyu mbaba jaman kwan kwa jinsi ninavo mjua atapanic mpaka basiKwani unataka kuwa mchepuko milele?
Hua namuulizaga maswali fulani., Na majibu anayonipa ni kwamba ameona mimi nitamfaa,Na kwann niendelee kukaa Na Mr X wakati hatutatimiza agano la mungu??? Na huwezi amini sijawahi muonjesha hata siku moja.Na nilikaa nae takriban siku 2 tulikua tukipanga mipango yetu Na hakua Na tamaa Na mimi mpka naondoka Na akanisindikiza wala chupi hajaigusa Na nauli ya kutosha kanipa.. Na alikua Na amani tuu alidai hana haraka.With all due respect, huyo kijana sio muoaji bali ni muonjaji tu.
Anajua unatoka na mfanyakazi mwenzake na yeye anatangaza kukupenda tena anataka mpaka uwe mke?!
Fanya maamuzi taratibu kabla ya kumpa babu mkono wa kwaheri.
Ukishaita mme wa mtu means hawezi oa tena Na yeye ni mkristu. Hapo hakuna malengo kabisaa ila yeye kuna kipindi alidai anataka anioe tena ila ndoa ya kichini chini ilimradi asinipoteze. Nikamwambia haitowezekana utaficha leo kesho itajulikana. Na itani cost ndo mwanzo wa kulogana. Akashikwa Na mi butwaa. Yaan ananitaka Na hataki kunipoteza Na mwezi ujao alikua anataka anipangie nyumba Na kunifungulia biashara yaani mmh{Kama wewe ni muumini mzuri wa dini}
Kabla hujafunga ndoa na huyo kijana nenda katubu dhambi ya uzinzi na mume wa mtu na kupima afya yako .
Then Kaa uongee nae huyo mume wa mtu ana malengo gani na wewe {kama si muislam}, na nini hatma yako katika mahusiano, kisha muweke wazi kuwa unahitaji ndoa halali ili maisha yako yaende salama.
Unamaanisha nini mkuuNdege atuavyo ndivyo arukavyo.
Asante kwa kuniheshim mkuu Na kutokutoa matusi thanx.. ishu nipe hints namuanzaje au nimtafute mtu wa kumueleza,au nimwambie huyu rafiki ake akamwambie au nafanyaje???Mi ni mmoja wa wale wa coment za matusi ila leo yemeniishia ngoja nikupe ushauri mzuri
Kwanza kabisa hongera kwa kumpata mtu ambaye manaelewana na mnamalengo hiyo ndio hatua ya kwanza kabisa kufikia kitu kinachoitwa NDOA
Pili ongera kwa kujitambua thamani yako
Tatu hapa ndipo unapoa paswa kusimama lazima umwambie ukweli tena mapema ili uanze kujiandaa kuingia ndoani
Mkristo haoi mke zaid ya mmojaMwambie babu aongee na mke wake...kuhusu kuongeza mke wa pili. Mke wake akikataa basi wewe mwambie unataka kuolewa hivyo ni vizuri kuheshimu maamuzi. Naimani babu kama anania atatangaza na wewe uwe tayari kuwa 2nd Lady wa babu.
Anza tu kumuuliza ki utani hiv siku nikipata mmtu itakuwajeAsante kwa kuniheshim mkuu Na kutokutoa matusi thanx.. ishu nipe hints namuanzaje au nimtafute mtu wa kumueleza,au nimwambie huyu rafiki ake akamwambie au nafanyaje???
Ila wanachepuka? Which is the same circle...huyo babu utamsaidia zaidi kama utaamua kuwa mke wa 2 na mke mkubwa akakubali uwe sehemu ya familia yao.Mkristo haoi mke zaid ya mmoja