Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,340
- 56,039
Urafiki wowote lazima uwe na faida au tija, hakuna urafiki mzuri kama wa kupeana fursa, kusaidiana penye changamoto n.k marafiki wa stori stori au maneno maneno sio wa kuaminika, ndio waliowengi wana 'element' za kiunafiki. Leo wako na wewe, kesho wanageuka kuwa adui.
Ni vizuri kujiwekea mikakati ya kupata marafiki wenye tija, kama wewe ni mzawa na unataka kupata marafiki watakaokupa fursa za kimataifa, tafuta marafiki kutoka nchi zingine, mfano; Uganda, Kenya, Sudan, S. Africa, Rwanda, USA, Brazili, Canada, Uingereza nazinginezo unazozifahamu. Hao ndio watakaokupa fursa, kwa kukuonyesha 'gap' lipo sehemu gani.
Lakini ukitaka marafiki uchwara wa tararila endelea kuwa na mmatumbi mwenzako, leo uko naye kesho anakugeuka.
Ni vizuri kujiwekea mikakati ya kupata marafiki wenye tija, kama wewe ni mzawa na unataka kupata marafiki watakaokupa fursa za kimataifa, tafuta marafiki kutoka nchi zingine, mfano; Uganda, Kenya, Sudan, S. Africa, Rwanda, USA, Brazili, Canada, Uingereza nazinginezo unazozifahamu. Hao ndio watakaokupa fursa, kwa kukuonyesha 'gap' lipo sehemu gani.
Lakini ukitaka marafiki uchwara wa tararila endelea kuwa na mmatumbi mwenzako, leo uko naye kesho anakugeuka.