Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
- Thread starter
- #101
dah aiseee.....aya bwanawala hujakosolewa tabasamu we....!nimeona tu kama kuna mambo yananchanganya ktk uzi wako na nmikaayaorodhesha.wa sifa hizo,porini kama huko,for two weeks....nawashauri tu mkumbuke kubeba kinga...lol!isije ikawa safari ya kukaleta ka_uncle bila kupanga ikaanzia hapo au (mungu apishe mbali)yale makubwa zaidi.all the best,though.