Rafiki wa kiume wa holiday...

wala hujakosolewa tabasamu we....!nimeona tu kama kuna mambo yananchanganya ktk uzi wako na nmikaayaorodhesha.wa sifa hizo,porini kama huko,for two weeks....nawashauri tu mkumbuke kubeba kinga...lol!isije ikawa safari ya kukaleta ka_uncle bila kupanga ikaanzia hapo au (mungu apishe mbali)yale makubwa zaidi.all the best,though.
dah aiseee.....aya bwana
 
dah aiseee.....aya bwana

nini tena mrembo?i wish ningelikuwa na-qualify........hahahah!ila angalizo langu kama limekukwaza naomba unisamehe bure na nikutakie wakati mtamu kabisa,ukafurahie maisha.....RESPONSIBLY!!:wink2:



 
nini tena mrembo?i wish ningelikuwa na-qualify........hahahah!ila angalizo langu kama limekukwaza naomba unisamehe bure na nikutakie wakati mtamu kabisa,ukafurahie maisha.....RESPONSIBLY!!:wink2:

hujanikwaza hata mimi sio mtu wa kukwazika hata kaka! napenda sana furaha....more than u can imagine...naona roho inakuuma vile hujaqualify sio? so unataka nipunguze hapo .....vigezo na masharti...????? kUZINGATIWA
 
hujanikwaza hata mimi sio mtu wa kukwazika hata kaka! napenda sana furaha....more than u can imagine...naona roho inakuuma vile hujaqualify sio? so unataka nipunguze hapo .....vigezo na masharti...????? kUZINGATIWA

Vingine vyote nafuzu da mzuri<kasoro hicho tu cha mpenzi,sijui ndoa!!henu fikiria fikiria kupitia tena hiyo rasimu ya masharti tafadhali!!.....rutashubanyuma yuko wapi sijui anisaidie hapa!
 
Vingine vyote nafuzu da mzuri<kasoro hicho tu cha mpenzi,sijui ndoa!!henu fikiria fikiria kupitia tena hiyo rasimu ya masharti tafadhali!!.....rutashubanyuma yuko wapi sijui anisaidie hapa!
labda icho cha kushare costi tuseme hivi huyo mtu ndo atagharimia kila kitu..no sharing of cost hapo unasemaje mkuu?
 
Nikiwa misituni pamoja na kusikiliza sauti za ndege, kuangalia maua, miti nk, huwa napenda pia kuwinda, kuyachezea maua, kukata miti, kucheza mchezo wa kujificha, n.k. Kama pia una hizo hobbies tutafutane.
 
ha ha ha ha ha, Bishanga umenichekesha.

Ila wewe hujui tricky hapa.

Hujawahi fukuzia mlokole na wewe ukajidai mpendwa?

Muulize klorokwini hizi mbinu.

Mie napenda kuangalia kangaroo na michongoma.

BADILI TABIA,masharti ya Smile siyawezi mwenzio.
hivi dume zima niko na kimwana kama smile halafu eti tuko porini tunakodolea miti mimacho,kha,kwanza mi mwenyewe nimezaliwa porini,shule full umande asubuhi halafu leo uniambie vekesheni nikaangalie miti Smile akawatafute wenzie waliozaliwa ostabei.
 
Last edited by a moderator:
ndio maana namheshimu sana mwalimu wangu wa fasihi.

Kibabu EMT, unataka kujificha mapango ya amboni? Utaweza? usije zimia tu.

Nikiwa misituni pamoja na kusikiliza sauti za ndege, kuangalia maua, miti nk, huwa napenda pia kuwinda, kuyachezea maua, kukata miti, kucheza mchezo wa kujificha, n.k. Kama pia una hizo hobbies tutafutane.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Nikiwa misituni pamoja na kusikiliza sauti za ndege, kuangalia maua, miti nk, huwa napenda pia kuwinda, kuyachezea maua, kukata miti, kucheza mchezo wa kujificha, n.k. Kama pia una hizo hobbies tutafutane.
poa mkuu
 
  • Thanks
Reactions: EMT
sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate7-awe single ... kama wewe ni mwanaume usiwe na mke/mpenzi
...kama mwanamke yeye sawa haina shida
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me


Hiyo interest ya kusikiliza sauti ya ndege naona imenidisqulify kabisa ...
Huku boko ninakoishi, sauti za ndege zimenichosha maana wamejanga karibu ktk kila mti na wananisumbua sana na kelele zao za asbh na jioni! Ukiniambia tuwafuate tena porini .... Mhhh hapana!
Au kwa nini niskukaribishe tu nyumbani ukasikilizia hizo sauti za ndege ukiwa sehemu nzr badala ya porini?
 
Hiyo interest ya kusikiliza sauti ya ndege naona imenidisqulify kabisa ...
Huku boko ninakoishi, sauti za ndege zimenichosha maana wamejanga karibu ktk kila mti na wananisumbua sana na kelele zao za asbh na jioni! Ukiniambia tuwafuate tena porini .... Mhhh hapana!
Au kwa nini niskukaribishe tu nyumbani ukasikilizia hizo sauti za ndege ukiwa sehemu nzr badala ya porini?
je waterfalls,wadudu,miti ,maua,kuogelea...tutafanyia wapi hp?
 
labda icho cha kushare costi tuseme hivi huyo mtu ndo atagharimia kila kitu..no sharing of cost hapo unasemaje mkuu?

hicho pia namudu bila kwikwi.tatizo ni hicho nilichokwambia mwanzo tu.ukilegeza tu na hicho funga hii search kabisa kwani utakuwa umeshanipata!i love nature,sana,ila wasiwasi labda naweza kukuboa as naweza kuwa mkimya sana at times(could work on this,hata hivyo!).hii kazi ngumu sana kumbe jameni,nishaanza kusahau haya....lol!
 
je waterfalls,wadudu,miti ,maua,kuogelea...tutafanyia wapi hp?

Hilo ondoa shaka, ukishasikiliza sauti za ndege na kuburudisha akili yako (maana yangu imechoshwa na milio ya ndege), hapo tunaweza kwenda 'Paradise lost', Nairobi. Hili ni eneo zuri la ki-asili ambapo kuna maporomoka ya maji, wadudu, sehemu nzuri za kuogelea, pia kuna ngamia kama utakuwa interested kupanda na boat na pikipiki za kuendeshea majini. Naamini Smile nikikupeleka huko, akili yako itaburudika sana ....
Kama hajapapenda niambie nikapatie maeneo mengine ya nchi za jirani ukapate kuburudika na roho yako!!
 
ha ha ha ha ha, Bishanga umenichekesha.

Ila wewe hujui tricky hapa.

Hujawahi fukuzia mlokole na wewe ukajidai mpendwa?

Muulize klorokwini hizi mbinu.

Mie napenda kuangalia kangaroo na michongoma.

heheeh Kongosho bana, sio mimi bana lakini nilimshuhudia sharobaro flani alienda kijijini akajifanya mlokole sasa kuna siku alikuja mdada flani ana mapepo ya kinafik........ sharobaro akajisahau akaweka ile lugha yao.

Mlokole sharobaro: paradise (akimaanisha pepo), go out meen!
Mwenye mapepo :unasemaje?
Mlokole sharobaro : unapendeza sana ukiwa na mapepo meen!
Mwenye mapepo: (kumbe hana mapepo lolote alkuwa anatafta njemba ikampreeze tu) "heee mlokole una visa, yaani pepo katoka bila kukemewa mara mbili?"
Mlokole sharobaro: Huyu pepo made in sweden meen, inabidi atolewe kutwa mara tatu, nitakubip baadae tukamilishe dozi meen!


Mimi muogopa zambi nikaondoka zangu
 
Last edited by a moderator:
Moja ya kazi ngumu sana binaadamu aliyekamilika kuweza kuifanya bila kuharibu neno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom