nahisi pia kutakuwa na harufu ya u-gay au ulesbian!!!
ushindwe kwa jina la bwanasmile kiukweli me nina baadhi ya vigezo ulivyotaja bahati mbaya vigezo vingine sina lakini jambo moja nataka kuwa wazi ukinikubalia kwenda na ww vacation nitakugonga tu. Kama hiyo haikusumbui mwaga program ili tujipange.
BADILI TABIA,masharti ya Smile siyawezi mwenzio.smile umejilipua...........
hawa wakaka watakimbia huu mlipuko maana walijua makopakopa yatakuwepo wewe umepiga mkwara...anyway nilisikia Bishanga anataka kwenda vakesheni....(joke)
FirstLady1 nashukuru sana kwa hili pande takatifu shemeji yangu
Fidel80 si unajua tena mambo yetu yale Smile hatajuatia holiday yakeFirstLady1 nashukuru sana kwa hili pande takatifu shemeji yangu
kumbe unakutana na watu humu?
nilifikiri hutaki ku date humu?
tatizo humu watu mnapenda kucritisize kila kitu ..ila nishampata...usimuulize maswali magumu sana mkubwa!halafu ni kama kuna mahali kwenye post yake nimesoma anasema kama ni mwanaume asiwe ameoa au kuwa na mpenzi.....halafu kakutana na mtu humu kumbe hafanani na umri wake........na vigezo vyote hivyo bado hataki ku-date mtu humu!!kweli akili yake imevurugwa dadangu?na-meet vigezovyote isipokuwa hivho cha ndoa tu...lol!
Hapo tu mdio pagumu....kwingine kote poa!!
Noana pia hutukaki vibabu....
tatizo humu watu mnapenda kucritisize kila kitu ..ila nishampata...