Rafiki wa kishua anaibiwa

Rafiki wa kishua anaibiwa

Samahani naomba kukuuliza hivi kwanini kwenye huu uzi wako umejishusha? Umejiita mfupi na ugly kwanini?. Kama umeamua kujishusha nani atakae kupandisha? Ukiwa na moyo huo utaumia sana kwenye ndoa manake utaona mumeo ana kusaliti,kutesa na kukudharau na hautaweza kufanya chochote. Kwasababu wewe mwenyewe ushajishusha na kijidharau sio lazima kupendwa lakini ni lazima kujipenda.


Ndukiiiii🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Habari zenu wadau,mimi ni binti nna marafiki zangu wawaili mmoja wa kishua sana mimi na mwingine ni maisha ya kati tu,kwenye urafiki wa watu watatu lazima kuna yule mmoja ye yupo nyumanyuma tu sasa huyo ndo mimi,

Kwanza kabisa hao wenzangu wawili warefu afu mimi kafupi ,pili wa kishua mweupe na huyo mwingine mweusi na wote ni warembo yani nikitembea nao mi naonekana kama msindikizaji na vile am ugly naachwaga tu kwny mataa muda mwingi, huyu wakishua na mimi we been friend for like 7 years,huyu mwingine tumuite Asha,yeye alikuja akatuta then akachukua nafasi yangu na mimi sio mtu wakutengeza new friends so nikastick tu hapo for company.

Story ni hivi huyu wa kishua ana mpenzi na wamekuwa wote kwa mwaka tu sasa na yeye ndo amekuwa akimuhudumia huyo mwanaume kwa asilimia sabini,mwanaume yeye anafanya biashara ya kutoa na kuweka pesa kwenye mitandao,na biashara hiyo huyu wa kishua ndo kampa mtaji.

Lakini sasa nimegundua kwamba kumbe huyu mwanaume na huyu rafiki mwingine walikuwa wapenzi kwa muda wa miaka kama 3 kasoro ila tu walitengana siwezi jua sababu but hiyo sio shida shida ni kwamba wameanzisha mahusiano upya ya kimyakimya wanamzunguka huyu wakishua kama mnavyojua wanasemaga mahawara hawaachani.

Wakishua licha ya kwamba now mimi sio her best friend kivile but ananijali nikiwa na shida mbalimbali na always amekuwa kati ya watu wanaonisaport sana kwenye mambo nayofanya,actually mimi nampenda sana kama mtu wangu wa karibu na kama dada coz kanizidi miaka 2,sasa baada ya kujua hii situation natamani kumwambia huyu wa kishua kuhusu huu mchezo anaochezewa but nashindwa nianzie wapi coz hapa kati nilikuwa najitenga nao mpka wakishua aliniuliza kama naona wivu kuhusu ukaribu wak ,kitu ambacho kama mwanadamu mwny hisia kiliniumiza so nawaza nikimwambia si atajua kweli nna wivu,!wadau ushauri wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU,
UMESEMA WE' NI MFUPI,

VIPI NI MFUPI SANA KAMA WALE MAESKIMO WA KONGO?

KAMA SIO SANA NAOMBA TUWASILIANE MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani naomba kukuuliza hivi kwanini kwenye huu uzi wako umejishusha? Umejiita mfupi na ugly kwanini?. Kama umeamua kujishusha nani atakae kupandisha? Ukiwa na moyo huo utaumia sana kwenye ndoa manake utaona mumeo ana kusaliti,kutesa na kukudharau na hautaweza kufanya chochote. Kwasababu wewe mwenyewe ushajishusha na kijidharau sio lazima kupendwa lakini ni lazima kujipenda.


Ndukiiiii
But ni ukweli tho,ila mwanaume awezi kukotrol maisha yangu sababu ya maumbile yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia akili kumfanya ajue si lazima umwambie........kwa kuwa unaujua mchezo basi unaweza gonganisha magari kama ajari tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But ni ukweli tho,ila mwanaume awezi kukotrol maisha yangu sababu ya maumbile yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasahivi bado haijakujaa hio hofu lakini maisha kila yakenda hukuingia kidogo dogo mpaka mwanaume atakuja kukucontrol atakavyo. Na hata uwe mfupi vipi na ugly vipi usijiite hivyo hata iwe kweli but usijidharau hakuna mkamilifu kwenye dunia hii. Kila unachokiona kina kasoro lakini hakijidharau kasoro zake.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ni ukweli bwana I'm not that attractive

Sent using Jamii Forums mobile app
beauty lies in the eyes of the beholder. U will never be attractive if you don't find yourself attractive.
The whole concept of beauty is subjective in the sense that what you find in yourself as unappealing might be the most gorgeous trait somebody else sees on you.
Kuhusu swala la kusalitiana, fuata moyo wako unachokwambia ila kama hao wasaliti wanajua kuwa wewe unajua na unakaa kimya then you are as a good of an accomplice as they are, hivyo ni bora kumwambia muhusika. Ila kama hawajui then just be there as a friend kwa msalitiwa pale yakisanuka, that's the most you can be. Don't be the bearer of bad news as it might backfire on you eventually.
 
Habari zenu wadau,mimi ni binti nna marafiki zangu wawaili mmoja wa kishua sana mimi na mwingine ni maisha ya kati tu,kwenye urafiki wa watu watatu lazima kuna yule mmoja ye yupo nyumanyuma tu sasa huyo ndo mimi,

Kwanza kabisa hao wenzangu wawili warefu afu mimi kafupi ,pili wa kishua mweupe na huyo mwingine mweusi na wote ni warembo yani nikitembea nao mi naonekana kama msindikizaji na vile am ugly naachwaga tu kwny mataa muda mwingi, huyu wakishua na mimi we been friend for like 7 years,huyu mwingine tumuite Asha,yeye alikuja akatuta then akachukua nafasi yangu na mimi sio mtu wakutengeza new friends so nikastick tu hapo for company.

Story ni hivi huyu wa kishua ana mpenzi na wamekuwa wote kwa mwaka tu sasa na yeye ndo amekuwa akimuhudumia huyo mwanaume kwa asilimia sabini,mwanaume yeye anafanya biashara ya kutoa na kuweka pesa kwenye mitandao,na biashara hiyo huyu wa kishua ndo kampa mtaji.

Lakini sasa nimegundua kwamba kumbe huyu mwanaume na huyu rafiki mwingine walikuwa wapenzi kwa muda wa miaka kama 3 kasoro ila tu walitengana siwezi jua sababu but hiyo sio shida shida ni kwamba wameanzisha mahusiano upya ya kimyakimya wanamzunguka huyu wakishua kama mnavyojua wanasemaga mahawara hawaachani.

Wakishua licha ya kwamba now mimi sio her best friend kivile but ananijali nikiwa na shida mbalimbali na always amekuwa kati ya watu wanaonisaport sana kwenye mambo nayofanya,actually mimi nampenda sana kama mtu wangu wa karibu na kama dada coz kanizidi miaka 2,sasa baada ya kujua hii situation natamani kumwambia huyu wa kishua kuhusu huu mchezo anaochezewa but nashindwa nianzie wapi coz hapa kati nilikuwa najitenga nao mpka wakishua aliniuliza kama naona wivu kuhusu ukaribu wak ,kitu ambacho kama mwanadamu mwny hisia kiliniumiza so nawaza nikimwambia si atajua kweli nna wivu,!wadau ushauri wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuwa ulijuwa mapema na hukuchukuwa hatua za kumwambia bassi potezea tu maana ukithubutu kumwambia now basi hiyo inakuqa sio habari bali unafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom