Rafiki wa Ex wangu ananitongoza

Rafiki wa Ex wangu ananitongoza

huu mwaka tutauziwa vingi sana....hata kama unachomoa kiasi gani utaitwa ununue aidha umependa au vinginevyo..
 
Siyo mtoto, ila nimeshangaa tu maana ni mtu ambaye tulikua tunaheshimiana naye.
hana hata kusubiri muda kidogo upite tokea mahusiano na rafiki yake yavunjike.
Sasa si umwambie ndiyo au hapana
 
Jirani unamponza mtoto, Baada ya miaka miwili mitatu mtu atatamani abadili I'd😄😄😄

Si unajuaga lakini wafukua makaburi tulivyo makini. Lamomy
Jirani akamatie goma hilo asipoteze muda, atawekwa uchumba sugu halafu ndoa anapata mwingine..!!

Hakuna cha ushemeji apite naye..!!! 😹😹😹
 
Ole wake mtu aseme mimi ni Binti Sayuni03 au kadogo2 au aniite mwanaume.
Utaiona side nyingine ya mabinti wa kisukuma.
😂😂😂 kumbe ushapewa na jina langu

Watu wa jf ni wapiga ramli sasa ubaya ramli zao huwa chonganishi wazoee

Halafu nitafutie kijana wa kisukuma huko kwenu ila asiwe msabato… awe mweusi tii nawakubali sana wasukuma sema wachawi kinoma
 
Lamomy alisema niendelee kushea episodes za maisha yangu, basi leo kuna jambo limenitokea na hapa ndiyo pa kusemea.

Iko hivi, mnajua nimeachana na yule mwanaume bondia, sasa huyo Ex wangu alikua na rafiki yake wa karibu sana ambaye wamekua wote tokea wadogo, familia zao ni marafiki yani ni kama ndugu tu na tulikua tumezoeana sana ananiita shemejiakeee.

Huyo kaka alikua mchechi sana na alikuwa anakuja home kwa Ex wangu, wanaangalia mpira pamoja, wakati mwingine nawapikia na yeye ndo ambaye wakati mwingine nilikua namlalamikia matatizo ya rafiki yake.

Aliomba tukutane nimsimulie nini kimetokea mpaka uhusiano wangu umefikia mwisho. Leo mchana nimekutana naye nikamsimulia, amenisikiliza, akanipa pole halafu akaanza kunitongoza. Amesema amekuwa ananipenda wakati wote ambao niko na rafiki yake ila ni heshima tu ilimfanya ajizuie. Amesema yuko tayari kwa lolote na yeye yuko serious anataka kunioa.

Nimechoka maana nilifikiri wanaume hawatongozi wala kutaka kuoa maEx wa rafiki zao ambao ni sawa na ndugu.

View attachment 3307399

Mimi simuamini na bado siko tayari kwa mahusiano ila kama ni wewe, ungefanyaje?



Mimi simuamini na bado siko tayari kwa mahusiano ila kama ni wewe, ungefanyaje?

UNAELEKEA QIBRA WEWE!!!
 
Jirani akamatie goma hilo asipoteze muda, atawekwa uchumba sugu halafu ndoa anapata mwingine..!!

Hakuna cha ushemeji apite naye..!!! 😹😹😹
Hahahahaaa 😄😄😄😄,. We mponze tu mwenzio
Ataliwa na kurekodiwa hata amini, kwanza anawez aliwe mtungo
 
Back
Top Bottom