Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 6,991
- 7,245
Who are youSiyo mimi
Who are youSiyo mimi
Sasa si umwambie ndiyo au hapanaSiyo mtoto, ila nimeshangaa tu maana ni mtu ambaye tulikua tunaheshimiana naye.
hana hata kusubiri muda kidogo upite tokea mahusiano na rafiki yake yavunjike.
Binti gani huyo anahitaji kibamiamzabzab Ukuje umchukue binti umpumzishe,.
Ndiyo my shem usiku mwema😅Poa my, uko vema?
Yuno ay lavyu somach.Ndiyo my shem usiku mwema😅
Umeniacha njia panda shemYuno ay lavyu somach.
Kwa vipi my?Umeniacha njia panda shem
Sijaelewa shemKwa vipi my?
Mbona wewe wa moto sana?
tafuta hela, wanawake wapo mkuu..Ole wake mtu aseme mimi ni Binti Sayuni03 au kadogo2 au aniite mwanaume.
Utaiona side nyingine ya mabinti wa kisukuma.
Jirani akamatie goma hilo asipoteze muda, atawekwa uchumba sugu halafu ndoa anapata mwingine..!!Jirani unamponza mtoto, Baada ya miaka miwili mitatu mtu atatamani abadili I'd😄😄😄
Si unajuaga lakini wafukua makaburi tulivyo makini. Lamomy
😂😂😂 kumbe ushapewa na jina languOle wake mtu aseme mimi ni Binti Sayuni03 au kadogo2 au aniite mwanaume.
Utaiona side nyingine ya mabinti wa kisukuma.
Lamomy alisema niendelee kushea episodes za maisha yangu, basi leo kuna jambo limenitokea na hapa ndiyo pa kusemea.
Iko hivi, mnajua nimeachana na yule mwanaume bondia, sasa huyo Ex wangu alikua na rafiki yake wa karibu sana ambaye wamekua wote tokea wadogo, familia zao ni marafiki yani ni kama ndugu tu na tulikua tumezoeana sana ananiita shemejiakeee.
Huyo kaka alikua mchechi sana na alikuwa anakuja home kwa Ex wangu, wanaangalia mpira pamoja, wakati mwingine nawapikia na yeye ndo ambaye wakati mwingine nilikua namlalamikia matatizo ya rafiki yake.
Aliomba tukutane nimsimulie nini kimetokea mpaka uhusiano wangu umefikia mwisho. Leo mchana nimekutana naye nikamsimulia, amenisikiliza, akanipa pole halafu akaanza kunitongoza. Amesema amekuwa ananipenda wakati wote ambao niko na rafiki yake ila ni heshima tu ilimfanya ajizuie. Amesema yuko tayari kwa lolote na yeye yuko serious anataka kunioa.
Nimechoka maana nilifikiri wanaume hawatongozi wala kutaka kuoa maEx wa rafiki zao ambao ni sawa na ndugu.
View attachment 3307399
Mimi simuamini na bado siko tayari kwa mahusiano ila kama ni wewe, ungefanyaje?
Hahahahaaa 😄😄😄😄,. We mponze tu mwenzioJirani akamatie goma hilo asipoteze muda, atawekwa uchumba sugu halafu ndoa anapata mwingine..!!
Hakuna cha ushemeji apite naye..!!! 😹😹😹
Mambo niajeNipo hapa🥺