Rafiki wa Ex wangu ananitongoza

Rafiki wa Ex wangu ananitongoza

Lamomy alisema niendelee kushea episodes za maisha yangu, basi leo kuna jambo limenitokea na hapa ndiyo pa kusemea.

Iko hivi, mnajua nimeachana na yule mwanaume bondia, sasa huyo Ex wangu alikua na rafiki yake wa karibu sana ambaye wamekua wote tokea wadogo, familia zao ni marafiki yani ni kama ndugu tu na tulikua tumezoeana sana ananiita shemejiakeee.

Huyo kaka alikua mchechi sana na alikuwa anakuja home kwa Ex wangu, wanaangalia mpira pamoja, wakati mwingine nawapikia na yeye ndo ambaye wakati mwingine nilikua namlalamikia matatizo ya rafiki yake.

Aliomba tukutane nimsimulie nini kimetokea mpaka uhusiano wangu umefikia mwisho. Leo mchana nimekutana naye nikamsimulia, amenisikiliza, akanipa pole halafu akaanza kunitongoza. Amesema amekuwa ananipenda wakati wote ambao niko na rafiki yake ila ni heshima tu ilimfanya ajizuie. Amesema yuko tayari kwa lolote na yeye yuko serious anataka kunioa.

Nimechoka maana nilifikiri wanaume hawatongozi wala kutaka kuoa maEx wa rafiki zao ambao ni sawa na ndugu.

View attachment 3307399

Mimi simuamini na bado siko tayari kwa mahusiano ila kama ni wewe, ungefanyaje?
Acha mawasiliano naye huyo mshenzi kabisa anataka akutafune akuache hakuna mapenzi hapo
 
Lamomy alisema niendelee kushea episodes za maisha yangu, basi leo kuna jambo limenitokea na hapa ndiyo pa kusemea.

Iko hivi, mnajua nimeachana na yule mwanaume bondia, sasa huyo Ex wangu alikua na rafiki yake wa karibu sana ambaye wamekua wote tokea wadogo, familia zao ni marafiki yani ni kama ndugu tu na tulikua tumezoeana sana ananiita shemejiakeee.

Huyo kaka alikua mchechi sana na alikuwa anakuja home kwa Ex wangu, wanaangalia mpira pamoja, wakati mwingine nawapikia na yeye ndo ambaye wakati mwingine nilikua namlalamikia matatizo ya rafiki yake.

Aliomba tukutane nimsimulie nini kimetokea mpaka uhusiano wangu umefikia mwisho. Leo mchana nimekutana naye nikamsimulia, amenisikiliza, akanipa pole halafu akaanza kunitongoza. Amesema amekuwa ananipenda wakati wote ambao niko na rafiki yake ila ni heshima tu ilimfanya ajizuie. Amesema yuko tayari kwa lolote na yeye yuko serious anataka kunioa.

Nimechoka maana nilifikiri wanaume hawatongozi wala kutaka kuoa maEx wa rafiki zao ambao ni sawa na ndugu.

View attachment 3307399

Mimi simuamini na bado siko tayari kwa mahusiano ila kama ni wewe, ungefanyaje?
Ndipo hapo mimi napatiaga madhaifu ya wanawake wanjanja janja kama wewe na kupandisha jaziba kujitwalia ushindi kwa goli rahisi kabisa la mkono.!

Labda nikuulize, wewe kutongozwa unakuchukulia kama ni udhalilishaji au ni jinai nyingine ambayo umefanyiwa?

Kosa la shemeji yako liko wapi hadi kumburuza Jf?

Kuna kinship yoyote ya kibaiolojia kuweza kusema ni maharimu wako?

Kutongoza ni sanaa ambayo inatakiwa imalizwe kisanii pia na haitakiwi kulaumiana.

Hauna mbinu yoyote ya kupiga chini wakware na mkabakia na mahusiano yenu ya zamani?

Ila ingelikuwa ni mimi ndiye huyo shemeji yako, lazima shemeji ningekulala.

Nina mbinu halali, nusu halali na haramu ambazo huzitumia kunasia wanawake wanaojifanya wagumu wakati kiuhalisia ni wepesi kuliko tissue paper.

Na nikiishatekeleza dhamira yangu, huishia kunyoosha mikono juu na kumuomba Mungu anihurumie.
 
Back
Top Bottom