Mtunza siri zako
JF-Expert Member
- Apr 11, 2025
- 586
- 975
- Thread starter
- #21
Jamani, mwaka huu nitaitwa majina yote. Mimi ni Nesi Kungwi kama Kungwi tu, memba mpya, kubali ukweli.Umesema tusiwataje wale wengne, tumekuletea mpya
Jamani, mwaka huu nitaitwa majina yote. Mimi ni Nesi Kungwi kama Kungwi tu, memba mpya, kubali ukweli.Umesema tusiwataje wale wengne, tumekuletea mpya
Umenifurahisha sana, inaonekana na wewe ni mcheshi 😊Usimpe huyo, nipe mimi ambaye sina uhusiano wowote na EX wako....
Nitakuwa wa mwisho kuaminiJamani, mwaka huu nitaitwa majina yote. Mimi ni Nesi Kungwi kama Kungwi tu, memba mpya, kubali ukweli.
Kwanini huamini?Nitakuwa wa mwisho kuamini
Shem mambo😅I like that babe, take care of yourself my.
Acha mawasiliano naye huyo mshenzi kabisa anataka akutafune akuache hakuna mapenzi hapoLamomy alisema niendelee kushea episodes za maisha yangu, basi leo kuna jambo limenitokea na hapa ndiyo pa kusemea.
Iko hivi, mnajua nimeachana na yule mwanaume bondia, sasa huyo Ex wangu alikua na rafiki yake wa karibu sana ambaye wamekua wote tokea wadogo, familia zao ni marafiki yani ni kama ndugu tu na tulikua tumezoeana sana ananiita shemejiakeee.
Huyo kaka alikua mchechi sana na alikuwa anakuja home kwa Ex wangu, wanaangalia mpira pamoja, wakati mwingine nawapikia na yeye ndo ambaye wakati mwingine nilikua namlalamikia matatizo ya rafiki yake.
Aliomba tukutane nimsimulie nini kimetokea mpaka uhusiano wangu umefikia mwisho. Leo mchana nimekutana naye nikamsimulia, amenisikiliza, akanipa pole halafu akaanza kunitongoza. Amesema amekuwa ananipenda wakati wote ambao niko na rafiki yake ila ni heshima tu ilimfanya ajizuie. Amesema yuko tayari kwa lolote na yeye yuko serious anataka kunioa.
Nimechoka maana nilifikiri wanaume hawatongozi wala kutaka kuoa maEx wa rafiki zao ambao ni sawa na ndugu.
View attachment 3307399
Mimi simuamini na bado siko tayari kwa mahusiano ila kama ni wewe, ungefanyaje?
Kama anachokiomba ninacho nampea tuuaaahaa kwa hiyo ingekuwa wewe ungempa
Naam, sema yes basi, uwe nesi wangu maishani mwangu.Umenifurahisha sana, inaonekana na wewe ni mcheshi 😊
Roho mbaya hiiAcha mawasiliano naye huyo mshenzi kabisa anataka akutafune akuache hakuna mapenzi hapo
ANGALIA UNAVYOJICOMENTISHAAcha mawasiliano naye huyo mshenzi kabisa anataka akutafune akuache hakuna mapenzi hapo
We si unasema upo mwanza, haya tuonane.. Halafu kama chating za wengne zitaendeleaKwanini huamini?
Sawa na mimi nilidhani itakuwa hivyo, basi umesema la maana sana!Acha mawasiliano naye huyo mshenzi kabisa anataka akutafune akuache hakuna mapenzi hapo
Unataka vayolensi kaka, mimi siyo huyo dada jamani mpumzisheniBinti sayuni hauchoki tu
Nipo Shem, mzima wewe?upe shemaji wak
Ndipo hapo mimi napatiaga madhaifu ya wanawake wanjanja janja kama wewe na kupandisha jaziba kujitwalia ushindi kwa goli rahisi kabisa la mkono.!Lamomy alisema niendelee kushea episodes za maisha yangu, basi leo kuna jambo limenitokea na hapa ndiyo pa kusemea.
Iko hivi, mnajua nimeachana na yule mwanaume bondia, sasa huyo Ex wangu alikua na rafiki yake wa karibu sana ambaye wamekua wote tokea wadogo, familia zao ni marafiki yani ni kama ndugu tu na tulikua tumezoeana sana ananiita shemejiakeee.
Huyo kaka alikua mchechi sana na alikuwa anakuja home kwa Ex wangu, wanaangalia mpira pamoja, wakati mwingine nawapikia na yeye ndo ambaye wakati mwingine nilikua namlalamikia matatizo ya rafiki yake.
Aliomba tukutane nimsimulie nini kimetokea mpaka uhusiano wangu umefikia mwisho. Leo mchana nimekutana naye nikamsimulia, amenisikiliza, akanipa pole halafu akaanza kunitongoza. Amesema amekuwa ananipenda wakati wote ambao niko na rafiki yake ila ni heshima tu ilimfanya ajizuie. Amesema yuko tayari kwa lolote na yeye yuko serious anataka kunioa.
Nimechoka maana nilifikiri wanaume hawatongozi wala kutaka kuoa maEx wa rafiki zao ambao ni sawa na ndugu.
View attachment 3307399
Mimi simuamini na bado siko tayari kwa mahusiano ila kama ni wewe, ungefanyaje?
Mashemeji siyo wa kuwachekea kabisa hawana adabuSawa na mimi nilidhani itakuwa hivyo, basi umesema la maana sana!