Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 6,991
- 7,245
Wewe sio Lady ammy kweliJamani, mwaka huu nitaitwa majina yote. Mimi ni Nesi Kungwi kama Kungwi tu, memba mpya, kubali ukweli.
Wewe sio Lady ammy kweliJamani, mwaka huu nitaitwa majina yote. Mimi ni Nesi Kungwi kama Kungwi tu, memba mpya, kubali ukweli.
Sawa nimekusikiaukimpa huyo braza shemeji, utajishushia brand yako, mkazie tu.
Binti apatiwe boyfriend sasa apumzike kidogo, ajitwalie hata mzabzabSema neno kaka mkubwa
I hope soThis also will pass ❌
Sawa, ngoja tuoneMupe.......Muruke......
Akamfungie hii long weekend umuachie baada ya ufufuko wa Yesumzabzab Ukuje umchukue binti umpumzishe,.
Siyo mtoto, ila nimeshangaa tu maana ni mtu ambaye tulikua tunaheshimiana naye.Kwani wewe mtoto, ulitaka asikutongoze na majibu unayo wewe!!
Akitoka huko atakua mkimya kwelikweli.. Kwanza atatamani afute nyuzi zoteAkamfungie hii long weekend umuachie baada ya ufufuko wa Yesu
Kumbe wanaweza wakawa wametumana kunipima.Kwahiyo hapo Unahisi huyo ex wako hajui kama rafiki yake kakutongoza??
Huwajui vijana wewe
Kwani Evelyn Salt siyo mdada?Sema neno kaka mkubwa
Kuwa makini ,Kumbe wanaweza wakawa wametumana kunipima.
Sasa mbona na huyo Ex mwenyewe kila siku meseji na simu haziishi anaomba msamaha, au ni maigizo tu?
Huyo ameshaniomba urafiki ila amesema ana pepo la kupenda ngono kupita kiasi na wanawake anawaona ni makenge, mimi sitamuweza! labda unipe mwingine!Binti apatiwe boyfriend sasa apumzike kidogo, ajitwalie hata mzabzab
Evelyn SaltKwani Evelyn Salt siyo mdada?
Sawa nitakuwa makiniKuwa makini ,
Inaweza ikawa sio kukupima tu saingine wanataka kukukomoa tu
SawaSawa nitakuwa makini
Jitu mwitu msitu, rijali matata nagusa naachia naenda kwao.....
Poa my, uko vema?Shem mambo😅