Rafiki Mkia wa Fisi!!!

Rafiki Mkia wa Fisi!!!

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,699
ni rafiki yangu tokea utotoni!
i mean best friend ikafikia akawa ni ndugu yaani flesh blood!
tulipendana hakuna jambo lake au langu kuwa siri kati yetu!
*elimu elimu elimu*
ndio ilifanya mi na yeye iwe part ways yeye alienda kusoma huko US msela mimi nikawa najikongoja kulingana na uwezo wetu yaani kibongobongo unaunga unga maisha tu!
mwaka juzi ikiwa karibu anamaliza high education ndio tukawa tumerudi kuwa na mawasiliano tena ya karibu hadi usiku wa manane tunachat mambo mengi tukikumbushie enzi za std1 hadi Alevel yaani hatukosi cha kuongea mi na yeye unakuta hata muda haututoshi!
OMG my best friend alirudi tanzania tena baada ya kumshawishi aje tuonane!
alifika nikampokea JKNIA kweli siku hiyo niliona raha isio kifani baada ya miaka mingi sana!kila mmoja wetu amebadilika tumekuwa watu wazima mi tayari nna familia!ila mwenzangu anasema hakuwahi kuwa hata na demu toka aende kusoma nje!
nikamkumbushia dem wake flan wa zaman kwamba bado yupo aendelee kuruka nae lakini sikuamini hataki wala hapendi kuskia kuhusu wanawake!
maisha yakaendelea kama kawaida tunakaa tunakunywa hadi usiku wa manane mke wangu akijua niko na rafki yangu na wakati mwingine nawapa simu waongeee!
juzi hapa tumelewa vitu alivyonieleza pombe yote iliruka kidogo nizimie!
kwamba yeye siku hizi ni gay nilihisi ni pombe lakini ilifikia ananilazmisha nikampe dudu langu anawashwa sana!kiukweli niligoma kesho yake hadi leo nna mawazo nahisi kama nnaota sihitaji hata kutoka nae namkwepa!nishaurini nifanyeje walimwengu
 
Mwambie ukweli kwamba hufanyi biashara hiyo na umueleze na shemegi nyumbani,kama unaogopa kumpa shemegi ukweli nipe namba yake nimwambie amuambie hataki na mumewe.
 
Si tayari ushamkwepa??? Hilo ndo la muhimu
 
***** mwana ughaibuni kasha kuwa chakula duuu
 
Nipe namba tayake nina shida nae
????????????????
ec7c88176401177c51a98e1273b4f1c8.jpg

nitumie namba zake
 
Mkuu mpotezee kabisa na mawasiliano kata nae aisee...Pumbafu sana aisee..kumbe ndio maana alikuwa anakwambia hana demu
 
Mwambie ukweli kwamba hufanyi biashara hiyo na umueleze na shemegi nyumbani,kama unaogopa kumpa shemegi ukweli nipe namba yake nimwambie amuambie hataki na mumewe.
namba ya wife ni privacy
 
Mkuu mpotezee kabisa na mawasiliano kata nae aisee...Pumbafu sana aisee..kumbe ndio maana alikuwa anakwambia hana demu
jozee acha tuu
huwez amini ht kukaa hom nawaza akija kuniulizia afu nikatae kutoka nae wife atahisi kitu na mi sitaki wife ajue sbb anajua yule ni rafiki wa kushibana taanzaje kumwambia ni mpunga
 
Sasa Umueleze shemegi tabia za rafik yako,ukishindwa mwisho atakushawishi uwe basha au Bwabwa.
 
jozee acha tuu
huwez amini ht kukaa hom nawaza akija kuniulizia afu nikatae kutoka nae wife atahisi kitu na mi sitaki wife ajue sbb anajua yule ni rafiki wa kushibana taanzaje kumwambia ni mpunga
Duuh lakini ni vyema ukamwambia wife kuwa huyu jamaa sio riziki tena kuliko kumficha ficha siku jamaa akija kuchomesha kwa wife wako itakuaje sasa?? Muepuke sana
 
ni rafki yangu kumbuka mi hapa nahitaji kumsaidia sio kumuuza
Acha na hao mafirauni ambao hawana ata aibu badala ya kukupa ushauri ni jinsi gani unaweza kumsaidia wao ndo wanakuomba namba kwelii..
 
Back
Top Bottom