Rafiki angu ananiroga

Mkuu..

Ushirikina Upo..
Hilo mi sina Doubt nalo..

Ila tunatofautiana tu njia ya kukabiliana nao.. kwa sababu za kiimani

Wengine Humtumia Mwenyezi Mungu
Wengine Humtumia
Miungu yao

Wewe umechagua kutumia Nguvu za giza
Basi nakushauri kulingana na uchaguzi wako..

Pambana na tatizo lako bila kurudirudi nyuma
Ukianzisha vita hakikisha unaimaliza
Maana hapo umeshachokoza tayari mapambano dhidi ya rafiki yako
Hata yeye pia ameshatambua kuwa mpo katika vita..
PAMBANA SANA..
 
Alaaa...kumbe!
 
Poa mkuu niombee nishinde vita hii
 
Usimwambie chochote kwa sababu huna uthibitisho ila mkwepe kaa naye mbali mtu mbaya hawezi kutoka mbali ni uyo uyo rafiki yako.
Inaonyesha umelelewa katika mazingira ya ushirikina na uchawi, hutakaa umwanini yeyote
 
huna lolote tak***o we, unaleta sifa hapa kua ulikua unampa Gari mara ooh kula kwako,mara mumlipia gest, huu upuuzi tu hapa, mbona kipindi cha KUMSAIDIA hukumuanika, me binafsi naona wewe ndie mchawi mwenyewe wa maisha yako.tuondolee harufu ya uvungu hapa
 
Natamani nikutukane ila basi tu. Kiufupi kwa waganga utamaliza hela, waongo wa hovyo hao
 
Ila waganga huwa ni waongo mnoo na ni wataalam wa kusoma saikolojia ya mtu, epukana na huyo rafiki yako na uache tabia ya kwenda kwa waganga, muamini Mungu kwa kila kitu.
 
Kwa akili hizi Tanzania tuna safari ndefu ya kusonga katika nchi ya kusadikia ya viwanda.

Kapimwe akili mkuu huenda una matatizo ya kisaikolojia.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Na wewe ni mshirikina kwa babu image ulipataje?

Anyway uwe unatembea na jani la bangi mfukoni&ule kitimoto sana uchawi haukugusi.
 
Madam, duniani tunahangaika huku na huko nikajikuta naenda kwa babu. Asante kwa ushauri wako naufanyia kazi
 
...teh hee hee..uzi umejaa wasioamini uchawi wakati wamesoma kichwa cha habari kinahusu nini..,badala ya kupuuza wasome vingine,wakafungua.,wakasoma hadi kucomment..
..kweli maisha bila unafiki hayaendi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…