kwa kweli inaumiza sana na inatia fedheha mtaani na kwa jamii inayowafahamu. lakini ushauri kwa huyo kijana, asije akaharibikiwa maisha yake na masomo eti tu kwa kuwa rafikie anatembea na mamake, yeye afocus kwenye masomo yake, ili aje awe na maisha yake nje ya nyumbani kwao ili asione maisha hayo ya mamake, as kwa huyo rafikiye, ajue kwamba rafiki ndio atakayeharibikiwa zaidi huu muda anaopoteza kuzurura na mamake atakuja kuujutia, asitake na yeye aingie kwenye mtego huo. huyo mama hata kama si kutembea na huyo rafiki yake angeweza kutafuta mvulana au mwanamume yoyote akafanya nae the same, remember he has to make life much easier to him - has to learn to 'expect nothing and accept everything" take heart 'cause life must go on, no matter what!