bahati mbaya
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 578
- 193
Makubwa haya. Tembea uone
Mzee wa chuda, hii imekaa vizuri kiaina.Si ndo hapo mpwa jamaa anamaindi kwa vile dogo anamega alipo tokea yeye asiumie na yeye kama anaweza amfuate mama ake na huyo dogo amege na yeye ili arudishe heshima mbele.
Mbona mi nikikuombaga utamu unanikataliaga?
Umeanza visa vyako. hebu twende PM kwanza nikakunong'oneze kitu flani. Inaonyesha mie na wewe kama tutaendana.....Mbona ulikimbia mwenyewe mziki wangu.....,cheze mm wewe,utapiga deki bahari.Lakin ulivyotimua nilifurah maana yawezekana uliniepushia kes,hv presha ile au?
Umeanza visa vyako. hebu twende PM kwanza nikakunong'oneze kitu flani. Inaonyesha mie na wewe kama tutaendana.....
Kwenye Central bolt.... Hivi wewe si una central nut? Usikonect dot wakati najua ushaelewa LOL
Hahahaha..... maswali mengine bana... Sasa screw driver itafanya nini? Kwenye bolt na nut inatumika spana bana.... Yeah, spana itatumika kukaza. Utaniletea lini sasa hiyo nut?? LOLyou are nuts and a half, so hapo screw driver inatumika au?????
si ndo hapo mpwa jamaa anamaindi kwa vile dogo anamega alipo tokea yeye asiumie na yeye kama anaweza amfuate mama ake na huyo dogo amege na yeye ili arudishe heshima mbele.
Hahahahha.....! Duh...! Hii ngumu kumeza, lakini namshauri naye atambue kuwa hiyo ni laana, na bado itaendelea hadi kizazi cha nne mbele ya macho yake....! So, hana jinsi ya kuzuia...! Kama ataamua kuendeleza laana hiyo, basi naye ajitahidi akammege na mama wa rafiki yake, kisha arudi kwa mama yake na kummega naye pia; kama ataweza....! Hadi hapo atakuwa amemkomesha huyo rafiki yake kwa kummegea mama yake na mpenzi wake....! Vinginevyo, alaani, na kuwaombea mapepo hayo yawatoke wote wawili....!Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.
Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.
Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. Hapo ndipo alipokutana na zahama. Rafiki yake yuko juu anammega mama yake mzazi, tena sebuleni kwenye kochi! Kijana hakuamini macho yake, kwamba rafiki yake mpenzi anammegea mama yake mzazi!!
Akatoka mbio mpaka kwa uncle wake kumweleza dhahama hiyo. Uncle kajaribu kuweka mambo sawa imeshindikana. Mama kanogewa, kijana kanogewa. Hivi sasa ni kama wameoana, mtaani wanarandaranda na gari ya mama yake rafiki yake, kijana dereva mama abiria! Wala si siri tena
Kijana wa watu amegoma kurudi nyumbani, rafiki yake amemsaliti. Amehamia kwa uncle wake. Kinachomuumiza kichwa zaidi ni kuwa dada zake wawili wanamuunga mkono mama yao. Hawaoni tatizo liko wapi wakati baba yao alishafariki na mama anahitaji pumziko.
Anachotaka sasa ni ushauri, alipe kisasi au asahau aendelee na hamsini zake?
Na kama ni kulipa kisasi, alipeje? Kijana wa watu amechanganyikiwa hata maendeleo yake darasani yameshuka sana.
Wana JF changieni mawazo jinsi ya kumshauri kijana huyu asizidi kuathirika kisaikolojia.
Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.
Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.
Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. Hapo ndipo alipokutana na zahama. Rafiki yake yuko juu anammega mama yake mzazi, tena sebuleni kwenye kochi! Kijana hakuamini macho yake, kwamba rafiki yake mpenzi anammegea mama yake mzazi!!
Akatoka mbio mpaka kwa uncle wake kumweleza dhahama hiyo. Uncle kajaribu kuweka mambo sawa imeshindikana. Mama kanogewa, kijana kanogewa. Hivi sasa ni kama wameoana, mtaani wanarandaranda na gari ya mama yake rafiki yake, kijana dereva mama abiria! Wala si siri tena
Kijana wa watu amegoma kurudi nyumbani, rafiki yake amemsaliti. Amehamia kwa uncle wake. Kinachomuumiza kichwa zaidi ni kuwa dada zake wawili wanamuunga mkono mama yao. Hawaoni tatizo liko wapi wakati baba yao alishafariki na mama anahitaji pumziko.
Anachotaka sasa ni ushauri, alipe kisasi au asahau aendelee na hamsini zake?
Na kama ni kulipa kisasi, alipeje? Kijana wa watu amechanganyikiwa hata maendeleo yake darasani yameshuka sana.
Wana JF changieni mawazo jinsi ya kumshauri kijana huyu asizidi kuathirika kisaikolojia.
Unajua tayari niko inbox nasubiri PM yako??