Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Well kama ni kamba ya kujinyonga , sumu au bastola andaa kabisa. Utakula kipondo hevi.
Wewe ni demu wa nani?
Well kama ni kamba ya kujinyonga , sumu au bastola andaa kabisa. Utakula kipondo hevi.
Wewe ni demu wa nani?
Demu wa Nyani!!
Nyani Abiziani?
Huyo huyo.
Demu wa Nyani Abiziani wewe
Ndio!!!!
Kuna rafiki yangu tunamesoma naye. ameniomba ushauri afanye nini baada ya kugundua kuwa rafiki yake wanaefanya naye kazi anatembea na mpenzi wake. Huyo jamaa anajua kila kitu kuwa huyo ni demu wake na huwa anamwelezea kila kitu kuhusu migogoro yao naye jamaa huwa anampa ushauri mwingi sana. Lakini amekuja kugundua kumbe huyo rafiki yake anatembea na kipenzi chake. sasa akaniuliza afanye nn maana jamaa wanafanya kazi ofsi moja.
Jamani tumsaidieni kijana mwenzetu anachanganyikiwa
Wewe ni demu?
Lol @ demu.