bendi ngapi hiyo mkuu??? halafu katika kasha lake la nyuma kuna maandishi "dudu proof" kisa kuna waya wa kuzuia mende. umeshaona hiyo mkuu halafu zililetwa enzi za RTC
Nilikuwa nayo hiyo miaka ya 1980 nilikuwa ninaipenda sana kusikiliza Sauti ya idhaa ya kiswahili ya Ujerumani hahahah umenikumbusha mbali mkuu Mbuzi Mzee.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.