Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Ilianza Wasafi FM 94.5 tokea mwaka jana, ikaja East Africa Radio 105.2 hii yapata kama mwezi hivi, imefuatiwa na Clouds FM 88.0 na E FM 93.7 hizi ni wiki hii na inayokatakata kwa sasa ni Radio Maria 93.7.
Radio Free Africa ya Mwanza 90.0 yenyewe mvua ikinyesha tu inapotea, sijui mtambo wake unaogopa mvua?
Nawasihi wamiliki wa hivi vyombo vya habari warekebishe tatizo hili.
Radio Free Africa ya Mwanza 90.0 yenyewe mvua ikinyesha tu inapotea, sijui mtambo wake unaogopa mvua?
Nawasihi wamiliki wa hivi vyombo vya habari warekebishe tatizo hili.