..............mwanangu ajuwe kusoma Qur'an kisha ashindwe A B C D !? nyie ndo maana mnawekewa picha kisha mnaambiwa huyu mungu, mnaitikia ameen. kila ujinga wa propaganda mnajazwa !
Tatizo lenu Waislamu mnapenda kusoma Biblia tu, ndio maana hata kwenye mihadhara ya Dini ya kiislamu kutwa mnajadili Biblia badala ya kusoma Quran. Wailasmu ni midomo tu hata maandiko yenu hamuyajui.
NENDA KASOMe maandiko haya, kama huwezi kutafsiri nenda kwa Sheikh atakusaidia ili uelewe:-
Quran nayo inayaeleza makundi yanayotakiwa kuchinja na chakula hicho kiwe halalai kwa Waislamu. Tunayasoma hayo katika
Suratul Al-Maidah, 5:5 Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri na chakula cha wale waliopewa kitabu ni halali kwenu na chakula chenu ni halali kwao
..Unaposoma ufafanuzi wa aya hiyo ndani ya Quran unasema Chakula cha kuchinja hakiwi halali kwa Mwislamu ila kichinjwe na (a) Mwislamu (b) Myahudi (c) Mnasara (Mkristo) Kwa sharti ile ya kuchinja siyo kuwanyonga
Hivyo mbali na Mwislamu, Myahudi na Mkristo pia wanayoruhusa kuchinja na Mwislamu akala bila hofu yoyote.
Muislamu anaweza kuchinja mnyama hata kwa kutamka jina lake tu akisahahu kutamka jina la Mwenyezi Mungu. Mkweli Mwaminifu,
kimeandikwa na Sheikh Said Moosa Mohammed al-Kindy wa Muscat Oman, Juzuu 3-4, uk.13 Hadith na.727 inasomeka hivi: Muislamu inamtosheleza jina lake,basi akisahau kusema jina (la Mwenyezi Mungu) wakati anapochinja, basi aseme (anapokumbuka) kisha ale.
Je jina la muislamu huyu lina uhalali gani hata kuwafanya wengine wale vibudu
Hata vitabu mbali mbali vinaeeleza kuwa Chakula cha Wakristo ni halali pia hata kwa Waislamu Safari moja aliulizwa Abu Dardaa (r.a) kuhusu beberu aliyechinjwa kwa ajili ya kanisa linaloitwa Jurjus:- Utakula nyama yake? Akajibu Abu Dardaa, Ewe Mola naomba msamaha, wao ni watu wa Kitabu chakula chao ni halali kwetu na chetu ni halali kwao. Akaamrisha aliwe.
Katika uk.71 wa Kitabu hicho hicho cha Halal na Haram kinaendeleza kueleza: Kanuni ; Tusilo Tusiloliona. Wala si juu ya Muislamu kuuliza mambo asiyoyaona. Vipi kimechinjwa? Je, shuruti za kuchi nja zimekamilika ? Je, limetajwa jina la Mwenyezi Mungu wakati wa kuchinja au halikutajwa? Haya si ya kuulizwa, bali kanuni ni kuwa kila kilichochinjwa an Muislamu-hata akiwa jahili au fasiki- au kilichochinjwa na Myahudi na Mkristo, maadamu hatukukiona kilivyochinjwa basi ni halali kukila. Mwisho wa kunukuu.
MIZAMBWA
NABII MTARAJWIA!!!