Radio Imaan: Kikwete anajipendekeza kwa wakristu!

Status
Not open for further replies.
Kuna jamaa hapa anajiita mbishi na kwa wale woote wenye upeo finyu kama wake..hii ni kwaajili yenu!

Tunapaswa kuelewa kwamba pasipo sheria hakuna kosa na hata mtu akifanya kosa lolote lile haijalishi ni la ajabu kiasi gani; lazima hukumu yake iendane na namna ambayo sheria inahitaji...ama sivyo, tutaziweka hisia zetu kuwa kigezo cha hukumu gani itolewe juu ya kosa fulani. Nimependa mfano ulioutoa kuhusu tukio lililowahi kutokea Mwanza siku za nyuma, ni vyema ukafahamu kuwa huyo mchungaji aliachiwa na polisi/mahakama baada ya kukosekana sheria inayomzuia kuchana/kukojolea wala kuchoma Quran! Sikutegemea mchungaji huyo angehukumiwa kutokana na hisia za waislamu bali sheria za nchi na ndicho kilicho tokea. VBivyo hivyo huyo kijana wa mbagala mwisho wasiku ataachiwa huru kwa maana kisheria hakuna lolote alilolitenda baya! Ama kama hamuamini pengine ninyi mtuambie ni sheria gani ktk Katiba ya nchi ambayo kimsingi inamzuia mtu kuchoma, kuchana au kukojolea Quran /Biblia? jibu la wazi ni hakuna...kitendo cha kuchoma makanisa ni kudhihirisha tu chuki za muda mrefu dhidi ya ukristo na vitendo hivi vinaendekezwa na na ****** wa magogoni ambaye kila kukicha haelewi kwamba mambo yaenda kombo badala yake ana-smile na kuweka pauz ili apigwe picha na wasanii!
 
mtakali kuchoma makanisa na kula pilau huku wenzenu tunaendelea kutafuta ni kata gani haina chuo kikuu then tunaanzisha chuo ili tupate elimu na mwisho wa siku mtaisoma namba tu na hayo majungu yenu.
tunasubiri namba isomeke. maana hata hiyo namba yenyewe hatuijui namba gani.
 
Maana tunaweza kudhani kwamba kilicho wakasirisha waislamu ni Quran kukojelewa. KUMBE UKWELI hasira za WAISLAMU zimetokana na MTOTO huyo kutogeuka kuwa MJUSI![/QUOTE]

Nakubaliana na ww kabisa, hasira ya waliovamia na kuharibu makanisa haitokani na msahafu 'kukojolewa' bali mtoto anayeaminiwa kukojolea kuthibitisha kinyume chake na hivyo kupunguzia kiwango cha imani ya watoto wa madrasa walikuwepo kuhusu 'nguvu' ya msahafu
 
Mungu wetu sisi wakristo hapiganiwi , anajipigania mwenyewe na ana uwezo kuliko vyote, na vita yetu sisi ni ya roho siyo ya damu na nyama.
Ukristu haupunguzwi nguvu kwa kuchoma makanisa au biblia
Uislamu sasa imefika wakati mtuonyeshe kweli dini yenu siyo ya fujo na chuki dhidi ya makafir ili muweze kuwavutia waipende ili wawe waislamu nao siku moja na siyo mnavyofanya hivi sasa.
(Mkizozana katika jambo basi rudisheni kwa Allaah na mtume ili mkiwa mnamwamini Allaah siku ya Aakhirah, An-Nisaa 4:59.)
Al-Maaidali 5:8, Husiache chuki zako kwa watu zikufanye ukaacha uadilifu, fanya uadilifu kwa kila mtu, adui au rafiki.
Tatizo watu wanavamia dini na niwavivu kusoma vitabu vyao, wanayokaririshwa na viongozi wao wa dini wao hawataki ata kujua ukweli unasemaje kutoka kwenye vitabu vyao.
 
Haya mambo yanachukiza sana ile ni karatasi kama karatasi nyingine tu ata angenyea juu yake
 
nashangaa leo mnachukia wakati nyie ndio wa kwanza kusema ni chaguo la mungu,,vip sasa...!mmekaa kona mnakubali penalt??sasa tunakomesha ile biashara ya utumwa,,zama za kupokea amri za vatican through muhasham CARDINALI MWENYE MAPENGO ZILIISHIA KWA BROTHER BENJA FISADI,,NCHI HII SASA INAENDESHWA KWA UTAWALA BORA WA SHERIA NA KUFUATA HAKI SAWA KWA WOTE,,MLITAKA CHAI WENYEWE SASA KWANINI LEO MLALAMIKE MNAUNGUA??...HEBU TUACHENI TULE ZAMA ZETU NASISI,KWAN SI KIZAM ZAM??au...:tea:
 
Kabla ya kufungwa redio imaan. Waanze kuyafungia magazeti ya udaku na vyombo vingine vinavyo iharibu jamii haswa hao watoto wadogo wenye kukojolea Vitabu vitukufu.Dini hazitakiwi kuvumiliana zinahitaji kuheshimiana.Leeni watoto kwenye maadili mema ili tupate raia wema.Kila kukicha Qur an imechomwa,imekanyagwa,mara dini ya mapepo.Uvumilivu umekwisha sishabikii kuvunjwa kwa Kanisa la khasha.Maadili MABOVU
 
Wahenga walinena
"Mtumikie KAFIRI upate AKILI"

sasa nyny waislamu wa siku hizi mbona mnakuwa tofauti
 
kukojolewa kwa qur an kwetu sisi sio ishu ndogo,the way mlifofadhaishwa na hao waliokosa akili na subira na kuyachoma makanisa is the same way na sisi tulivofadhaishwa na kile kikinda kuikojolea qur an yetu,,kwaiyo kama vip tupate fundisho wote pande husika then tugawane ustaarabu,mpenda aman ndio mlinda aman,mvunja aman ni yule mwanzilish wa choko choko bila kujali excuse ya ain yoyote ile..!!

Issue hapa ni kwamba Quran haiwezi kumgeuza mtu kuwa chizi, kichaa, mjusi etc

As far as mtaendelea kuinasibu Quran na huo UONGO wa mambo ya kijinga. And as far as tutaendelea kuwa na watoto inqustive bado watoto wataendelea kuikojelea Quran na kuitemea mate kuona kwamba kama kweli watageuka kuwa MIJUSI au whatever.
 
wakoloni walituletea wote shule! Haya nyie mlikuwa wapi kusoma??? Mlikuwa mnakula pilau eee??? Malipo ndiyo haya sasa, inferiority complex!! Nendeni shule, acheni majungu na kuvuta bangi!

Walikua busy kule Madrasa mama!!
 
chuo mnaanzisha nyie au vatican??pesa mtoe wapi nyinyi na nchi maskin hii,,acha zako hashuo,,wamissionary wanajenga shule na makanisa kwa interest zao za kukuassimilate then wewe wajitia ugwiji kua mmejenga nyie kwa pesa gan?sema mmesaidiwa kujengewa na misaada ya kutoka vatican hapo utaeleweka kalubandika ndugu yangu...!!1:biggrin::biggrin:
 
Mara zote najiuliza, kwa nini hayakutokea hayo zamani? Tatizo ni moja tu, tuna viongozi wa taifa letu wasiojua nini maana ya uongozi. Chanzo cha udini katika taifa letu ni ombwe la uongozi katika taifa letu. Sijajua kama kweli kikwete anajua namna ya kudumisha mshikamano wa taifa letu! Personally ni muslim, ningelikuwa rais ningeifunga iman redio kwa maslahi mapana ya taifa letu. Tanzania ni zaidi ya dini. Dini ni za watu!
wewe sio mwislam bali ni mpagani, kwa taarifa yako redio iman inajibu kejeli zinazo fanywa dhidi ya uislam, kwani hakuna jipya wanaloanzisha, bali kila wanachosema kiko kwenye ushahidi wa maandiki kutoka vyanzo vya kuaminika, sema tu kwa sababu wamekuwa wakielimisha watu kujua ukweli, na ukweli katka nchi hii ni uongo basi ndo maana sikushangai wewe mpagani unahamaki bila kujua na kutuhumu redio imani, mbona vyombo vingi sana vya habari vinareport habari za udaku tena zinazohatarisha usalama wa nchi mnakaa kimya, leo eti redio imani ifungwe kwa sababu watu wamekojolea Qur'an na kuchoma makanisa. Je unajua redio iman ikifungwa unajua nn kitatokea? Tafakari.
 
Kinachoendelea humu JF wakristo wana mshambulia Kikwete Kwa sababu ya Uislamu wake.....Kama kikwete anaendesha
serikali vibaya..mshambulieni kama yeye na si kuhusisha dini yake....

Watu wanavaa miwani za mbao, tuhuma zote za ufisadi zilizotokea kipindi cha Mkapa anabebeshwa kikwete

Ni hii tabia imekuwa sugu ..mtu akifanya ishu mbaya halafu ana jina la kiislamu utasikia ooh waislamu hawa ..wamefanya
hivi kwa kuwa hawajosoma...dini yao ndio inavyofundisha kufanya vile

lakini mtu huyo akiwa na jina la kikristo watu wanamjadili bila kuhusisha dini yake...
wanaofanya haya ndio wanajiita wamesoma.......
 
Waache wamtukane kwani ni yeye aliyewapandikiza chuki na kuwalea akidhani watakuwa na mipaka, wamejiona wako juu ya sheria na hakuna wa kuwadhibiti wanajiona wanaweza kusema chochote wakati wowote, maskini Jk
 
Mimi ninachojiuliza supposed huyo MTOTO angekojolea Quran na halafu angeuka KWELI kuwa MJUSI baso WAISLAMU wangefanya fujo na kuchoma makanisa?! (Remember yalikuwa mabishano kati ya watoto wawili Mwislamu V Mkiristu)

Maana tunaweza kudhani kwamba kilicho wakasirisha waislamu ni Quran kukojelewa. KUMBE UKWELI hasira za WAISLAMU zimetokana na MTOTO huyo kutogeuka kuwa MJUSI!

bobuk,hahahahahah umeniacha hoi
 
wewe sio mwislam bali ni mpagani, kwa taarifa yako redio iman inajibu kejeli zinazo fanywa dhidi ya uislam, kwani hakuna jipya wanaloanzisha, bali kila wanachosema kiko kwenye ushahidi wa maandiki kutoka vyanzo vya kuaminika, sema tu kwa sababu wamekuwa wakielimisha watu kujua ukweli, na ukweli katka nchi hii ni uongo basi ndo maana sikushangai wewe mpagani unahamaki bila kujua na kutuhumu redio imani, mbona vyombo vingi sana vya habari vinareport habari za udaku tena zinazohatarisha usalama wa nchi mnakaa kimya, leo eti redio imani ifungwe kwa sababu watu wamekojolea Qur'an na kuchoma makanisa. Je unajua redio iman ikifungwa unajua nn kitatokea? Tafakari.

hahahahaha eti unajiita Happy!!vya wagala vitamu bwana!!ndio maana ata hamtaki kujitanda yale maturubai kama maandiko yenu yanavyotaka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom