Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Haya matukio yanaonyesha namna gani waislamu walivo na chuki na wakristu, likitokea jambo dogo tu wanakimbilia kuchoma makanisa na kuharibu mali za wakristu bila kufikiria kidogo nn chanzo cha tatizo. Baada ya kukojolewa msaafu hakuna aliyejiuliza kwa nn umekojolewa au akataka labda huyu mtoto ahojiwe nn kimepelekea akojolee kitabu hicho badala yake wakiongozwa na chuki walirukia makanisa na kuyachoma.
CCM na kikwete walitumia udini kupambana na Slaa kwenye uchaguzi wa 2010, na kuwatumia radio imani akina ponda kwa propaganda zao wakitoa ahadi ya kuunda mahama za kadhi, n.k! Uchaguzi umeisha mbegu walichozapanda zimechipua na sasa zimamea, ndipo hapo tulipo sasa! Najiuliza maswali haya anayeweza anisaidie majibu
1.Vurugu za juzi je wakristu wangeamua nao kujitokeza kulinda makanisa na imani yao nini haswa kingetokea?
2.Radio za kikristu kama Radio Maria, Tumaini Sauti ya Tumaini, Safina radio n.k nazo sasa zikaanza kutoa mada au makala za kuukashifu uislamu na viongozi wa serikali na viongozi waislamu, je serikali itazifungia? na ikizifungia itatoa maelezo gani ya kushindwa kuifungia radio imani ambayo imekuwa ikikashifu ukristu kwa muda mrefu sasa??
3.Kardinali, na maaskofu na mapadri na wachungaji na viongozi wa kikristu wakianza kuwahamasisha waumini kupambana na waislamu na kuyalinda makanisa na mali zao kwa gharama yoyote na kuhubiri uanaharakati haramu kama anavoeneza Ponda na mashehe wengine je serikali itawakamata? ikiwakamata itaeleza kwa nini ilishindwa kumkamata Ponda na wenzie ambao wamekuwa wakifanya hivo kwa miaka?
4.Waislamu haswa wanadai nn? wanataka kutangaza jamhuri ya kiislamu? wanataka wananchi wahame nchi? au ni haki zipi wananyimwa??
5. Chuki hizi za waislamu ni kweli kabisa za kiroho kwa udhati wake au zinasukumwa na siasa?
6.Kama taifa nini sasa tuende kukifanya kuliokoa taifa hili na vita ya kidini ambayo kwa maoni yangu kwa sasa ni kama time-bomb ambalo anytime litalipuka na kulimaliza taifa hili!
Kokojolea Quran tukufu ni jambo dogo?