Radi ya leo saa nane usiku

Mkoa gani na wilaya gani hiyo radi umeisikia hiyo radi?! maana wengine hatujawahi hata kufika huko Dar Naona anafanya generalisation tu
 
Ajabu si radi ajabu ni mwanaume kuogopa radi!!
 
Mimi sikusikia kabisa hata hiyo mvua. Naamka nakuta kuna mti umeporomoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…