Huko mpitimbi nilipita nikielekea Muhukuluwana jamii forums weng mnadhan wote tunakaa dsm wengne tupo huku mpitimbi hakukuwa na rad wala mvua
Ilibid useme radi ya leo huko dsm ilikuwa hatar
Nyambaaf
Dah karibu sana hapa mtaa wa madukan sokon unywe ulanz na myakayaHuko mpitimbi nilipita nikielekea Muhukulu
Asante,nilishia pale pale Muhukulu ingawa kutokea pale si kilomita nyingi Msumbiji ile paleDah karibu sana hapa mtaa wa madukan sokon unywe ulanz na myakaya
Ulikuwa unaenda mozambique eee
Dah karibu sana hapa mtaa wa madukan sokon unywe ulanz na myakayaHuko mpitimbi nilipita nikielekea Muhukulu
Baeleze bamutu ya dsmWatu wa dar,huwa mnahisi kila kinachotokea dar kinasikika nchi nzima ee?
We sema uliwahi kulala uliza wenzio