jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
- Thread starter
- #41
Nilivyomuona mimi mengi ni mfanya biashara per se mwenye sifa zote za ubepari. Narudia huo ni muono wangu. Sina shida na yeye kuwa bepari. Na ndio maana nikaona ni bora aendelee kwenye channel ya biashara. Nilivyompima nilimuona ana uwezo mkubwa wa kumanage biashara kuliko watu. Ndio maana nina wasiwasi iwapo ataweza kutumanage kama akiwa rais
Dunia tuliyoko tunahitaji viongozi wenye sifa zake.
Shida tuliyonayo ni ufisadi!
Na yeye alianza kupigana hivyo vita kabla mimi na wewe hatujawa na mwamko huo!
Huyu jamaa angetaka kukaa kimya bila kuukemea ufisadi tungekuwa wapi leo?
Nani asiyejua anaheshimiwa na angetaka kuitumia heshma anayopewa kwa kujikomba kwa viongozi sisi wananchi wa kawaida tungekuwa wapi leo?
Unazungumzia kuhusu mabepari!
Ni kiongozi gani tuliyenaye/tuliyekuwa nao ambao si mabepari?
Mkapa?
Chenge?
Lowassa?
Mwinyi?
nani?
Tumpe fair disscussion!