Dunia ina homa ila watu wema bado wapo pia.
You played a big role ktk kupigania uhai wake.
Mungu akujaalie zaidi... pengine ni possibly mlango ulifunguka ukapata hiyo kazi nzuri baada ya huo usamaria ulomfanyia Neema. Mungu wetu hulipa.
R. I. P Neema
-Kaveli-