ijoz
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 731
- 710
Siku kama ya leo tar.17/3/2011 baba yangu aliaga dunia.
Alikuwa ni mume mzuri kwa mama yangu,baba mzuri kwa sisi wanawe,mtani mzuri kwa wajukuu zake na watu wengine na mshauri mzuri kwa jamii. Alipenda kuishi kwa mifano,alijenga misingi ya sisi kujitegemea.
Hakika siwezi kumsahau baba yangu,mshauri wangu, na rafiki yangu. Juhudi zake na baraka zake nazishuhudia hadi leo hii.
Baba, kama Mwenyezi Mungu atatukutanisha tena Mbinguni na kunitaka nichague baba,wewe utaendelea kuwa ni baba yangu pekee na chaguo langu sahihi.
I feel proud to be your son.
Alikuwa ni mume mzuri kwa mama yangu,baba mzuri kwa sisi wanawe,mtani mzuri kwa wajukuu zake na watu wengine na mshauri mzuri kwa jamii. Alipenda kuishi kwa mifano,alijenga misingi ya sisi kujitegemea.
Hakika siwezi kumsahau baba yangu,mshauri wangu, na rafiki yangu. Juhudi zake na baraka zake nazishuhudia hadi leo hii.
Baba, kama Mwenyezi Mungu atatukutanisha tena Mbinguni na kunitaka nichague baba,wewe utaendelea kuwa ni baba yangu pekee na chaguo langu sahihi.
I feel proud to be your son.