R.I.P Malema Christopher Mpyila

Kila jaribu lina mlango wa kutokea. Pole kwa familia kwa zaidi ya kipindi kigumu wanacho pitia. Mungu awatie nguvu. Kila nafsi itaonja mauti . Rip
 
Tutende mema muda wote.

Wapumzike kwa amani.
 
it it's so sad
Let's pray for them so as God's mercy be with them
 
Dah poleni sana aiseeee! Mimi siku nikifa Ooghh Mungu aepushie mbali, ila nikifa wengi watakuja kutoa taarifa sahihi! Wanajua kila kitu! Poleni sana Kuna haja ya kufahamiana na watu at least wawili au watatu
Mkuu samahani, hebu funguka kidogo hapo kwenye redi
 
Kwa kweli na masikitiko makubwa poleni sana wazazi na familia kwa ujumla tukiwemo wana JF
 
Mungu aware fa raja na matumaini ndugu na wote waliofikwa na msiba. Poleni saba
 
Mungu awarehemu marehemu, inasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…