mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Hakika tukae tukijifunza kwamba uhai sio wetu na tuifikirie jehanam ambayo ndio kesho yetu.....
R. I. P. JOTI....
Tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi
Kuna kitabu kimoja nilikua nakisoma hapa kinaitwa "KILIO CHETU"
Sasa kuna dogo anaitwa Joti ambae ndo mhusika mkuu katika hadithi hii amekufa.
Hii hadithi inasikitisha sana aisee
R. I. P. JOTI....
Tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi
Kuna kitabu kimoja nilikua nakisoma hapa kinaitwa "KILIO CHETU"
Sasa kuna dogo anaitwa Joti ambae ndo mhusika mkuu katika hadithi hii amekufa.
Hii hadithi inasikitisha sana aisee