R.I.P kifurushi changu pendwa cha Halotel

R.I.P kifurushi changu pendwa cha Halotel

Njoo airtel unapata kifurushi cha sh1000 ukifika kwa mangi, mwambie hivi nataka vc ya chuo ya buku. akikupa fanya hivi *149*94*.........…...#ok. utapata gb2 dk100 airtel na dk10 mitandao mingine kwa siku 3 (kinachacha baada ya Siku tatu) mwenzio kila siku napakua mi cinema.
Unajua hapa tuna link price na internet speed..! Airtel wana speed kimeo sana kwa maeneo mengi,basi wangekua na hata 4G lakin hawana ,itakua haina maana hata upewe gb10 kwa sh 500 then speed ni yakobe...
 
Unajua hapa tuna link price na internet speed..! Airtel wana speed kimeo sana kwa maeneo mengi,basi wangekua na hata 4G lakin hawana ,itakua haina maana hata upewe gb10 kwa sh 500 then speed ni yakobe...
Inategemea na eneo, sijajua upo maeneo gani. mi nipo Masaki speed uko vizuri sana, nimedownload movie ya Donie Yen in the line of duty4 yenye mb390 kwa dk kama 15-20 na kila siku na enjoy
 
Inategemea na eneo, sijajua upo maeneo gani. mi nipo Masaki speed uko vizuri sana, nimedownload movie ya Donie Yen in the line of duty4 yenye mb390 kwa dk kama 15-20 na kila siku na enjoy
Mb 390 kwa dk 20 speed ya kobe hiyo kaka..

Sasa heavy user tunae mzungumZia hapa hyo speed haitosh..mie nawaza kushusha battlefield 1 hapa ina gb 49 si ntakaa wiki mbili na hyo speed.

Moviez nashusha 1080p almost 2gb per movie nahitaj not less than1MBs..Airtel hawana hiyo speed
 
Mb 390 kwa dk 20 speed ya kobe hiyo kaka..

Sasa heavy user tunae mzungumZia hapa hyo speed haitosh..mie nawaza kushusha battlefield 1 hapa ina gb 49 si ntakaa wiki mbili na hyo speed.

Moviez nashusha 1080p almost 2gb per movie nahitaj not less than1MBs..Airtel hawana hiyo speed
mi sio mtaalamu sana wa haya mambo, mi nilijua hii ni speed nzuri kwa kuwa matumizi yangu sio mengi sana, mfano mi natumia cm kudownload movie, natumia videoder ama bit torrent, lkn kwa sawa bit torrent inazingua, kwa hiyo unataka kusema kuwa, kama movie 1gb inatakiwa niipakue kwa dk ngapi kwa speed nzuri? nawe unatumia mtandao gani?
 
mi sio mtaalamu sana wa haya mambo, mi nilijua hii ni speed nzuri kwa kuwa matumizi yangu sio mengi sana, mfano mi natumia cm kudownload movie, natumia videoder ama bit torrent, lkn kwa sawa bit torrent inazingua, kwa hiyo unataka kusema kuwa, kama movie 1gb inatakiwa niipakue kwa dk ngapi kwa speed nzuri? nawe unatumia mtandao gani?
Bit torrent inakuzngua wap?

Movie ya 1gb unatakiwa ushushe ndan ya dk 15 kwa speed ya 1MBs...ila kama speed itakua above 1MBs basi na mda utazid kupungua

Mimi natumia voda mkuu
 
Duu! si mchezo ndio mnaita 4g? mi laini ya voda ya 4g ninayo pia lkn cm yangu ni3g je inaweza kusapoti hiyo kasi?. bit torret inanisumbua mfano naandika movie katika torrent kisha inanipeleka Google, nikiipata inatakiwa nii- add katika torrent ili ianzee kudownload lkn kwa sasa inakataa wakati nyuma nilikuwa napakua kwa style hiyo. hata utorrent pia, Mara nyingine natumia telegram, ila hii siipendi sana kwa kuwa unapata tu movie walizo weka wao, ukiandika zako hupati.
 
Unajua hapa tuna link price na internet speed..! Airtel wana speed kimeo sana kwa maeneo mengi,basi wangekua na hata 4G lakin hawana ,itakua haina maana hata upewe gb10 kwa sh 500 then speed ni yakobe...
kwangu pia speed ni nzuri sana 10mbps kwa airtel usiku na mchana 6mbps sikosi,

na hata kama kwako ipo slow tsh 600 kwa gb10 usiku siku 3 haina mpinzani, nina masaa 6 ya kudownload hadi asubuhi, haiwezi maliza siku 3 bila kuisha
 
Duu! si mchezo ndio mnaita 4g? mi laini ya voda ya 4g ninayo pia lkn cm yangu ni3g je inaweza kusapoti hiyo kasi?. bit torret inanisumbua mfano naandika movie katika torrent kisha inanipeleka Google, nikiipata inatakiwa nii- add katika torrent ili ianzee kudownload lkn kwa sasa inakataa wakati nyuma nilikuwa napakua kwa style hiyo. hata utorrent pia, Mara nyingine natumia telegram, ila hii siipendi sana kwa kuwa unapata tu movie walizo weka wao, ukiandika zako hupati.
Mimi voda 3g napata above 1MBs na 4G pia ni above 2MBs

Huwez pata speed ya 4G kweny simu isiyo support 4G utapata 3G tu

Njia rahis kusovle hyo bittorent yako ni kuingia kweny website za torrent na kisha una download moja kwa moja tumia magnetic link zinakialama kama cha sumaku...
Screenshot_2017-03-18-11-40-35-1.png


Hapo haitokusumbua tena



Duu! si mchezo ndio mnaita 4g? mi laini ya voda ya 4g ninayo pia lkn cm yangu ni3g je inaweza kusapoti hiyo kasi?. bit torret inanisumbua mfano naandika movie katika torrent kisha inanipeleka Google, nikiipata inatakiwa nii- add katika torrent ili ianzee kudownload lkn kwa sasa inakataa wakati nyuma nilikuwa napakua kwa style hiyo. hata utorrent pia, Mara nyingine natumia telegram, ila hii siipendi sana kwa kuwa unapata tu movie walizo weka wao, ukiandika zako hupati.
 
Kama kawaida yangu huwa naunga kile kifurushi cha GB 2.8 kwa 2000 kila siku kwa mtandao wa Halotel, Ila leo cha kushangaza ni kwamba kwa sasa nitaweza kupata gb 1.5,
Maumivu nayoyapata ni makali sana maana hizo gb 1.3 walizozipiga panga ni nyingi sana, Napenda kutumia internet kuanzia youtube , streaming plus downloading various stuff,
Hapa nilipo ninawaza sana ni jinsi gani ntavyoweza ku utilize hizi G.B 1.5 ili kutumia internet kama hapo awali

Guys haya ni majanga kwa Heavy Internet users kama mimi walichofanya halotel niliokuwa nawategemea sana na hapa ndio kwanza hata sijui nihamie wapi maana voda, tigo na Airtel
wana bei zao nilizozikimbiaga zamani sana na kuhamia mtandao wa Halotel waliokuwa wana unafuu kupita kiasi enzi hizo.

NAOMBENI USHAURI AMA NYONGEZA NDUGU WANAJAMII
Airtel 2.5GB kwa 2,000/=
Screenshot_2017-03-18-14-31-50.png
 
Kumbe speed ipo slow, duuh
Speed ya internet inategemea na sehemu uliyopo. Mimi nina laini ya halotel lakini speed ni slow sana kwenye ku-stream video buffering nyingi sana. Nikabidi nitumie laini ya airtel ndio niliyokuwa natumia. Ila baadae nikatafuta laini ya chuo ya halotel kwavile vifurushi vyake bei nafuu. Siku ya uefa champions league laini iliniboa sana maana internet ipo slow sana kwenye kuangalia live match. Nikabidi niweke laini ya airtel, baada ya nikaangalia mpira fresh kabisa bila kukwama kwama.
 
Back
Top Bottom