R.I.P beautiful young gal

Kwahiyo kumbe Field yake alikuwa anaifanyia mjini na katika Madaladala badala ya huko Bagamoyo kama ambavyo alisema? Kazi ipo hakyanani!
Yawezekana aliaga labda juzi, au alikuwa anadanga kidogo mitaa ya kinondoni.
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Chuo NIT
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
NIT bwana.Raha ya milele umpatie eeh Bwana.............
 
Wakuu ebu nielezeeni nini kimemsibu binti wa watu make mi naona maphotography
 
Leo umekuwa mgeni wa mitandao akati na wew unakurupukaga na vitaarfa vyako vya uchochoroni
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.

Ukishaju itakusaidia nini?
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Utakua hauko sawah so bure
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…