Quran ya Allah ni kitabu kisichokuwa na shaka

Quran ya Allah ni kitabu kisichokuwa na shaka

Castle_Lite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
4,505
Reaction score
9,966
unsplash-image-lKbz2ejxYbA.webp


Mtume alishushiwa Quran miaka 600+ baada ya Uyahudi na Ukristo kuwepo.
Kwa mtindo wa Wahyi na mara 2 kwa kuonana ana kwa ana na Jibril.

Swali langu,
1. Imewezekanaje Quran kuwe na visa vya wana wa Waisrael. Ina maana na vywenyewe Mohamed alikuwa anaoteshwa?.

(Yona au Yunus, ibrahim , sodoma na gomora nk)
Hizi zote Jibril alimfunulia Mohamed sio? Kwamba hakuwa anazijua na waarabu walikuwa hawazifahamu?.

(Hapa Nina maanisha visa ambazo haviko kwenye Torati, ) je zilishushwa na Allah kwa wahyi?.
Na Kwa ufafanuzi zaid Tourat ni kitabu kimoja alichoshushiwa Musa
Al-Isra 17:2
"Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya kuwa ni uongofu kwa Wana wa Israili...
Al-Ahqaf 46:12
"Na kabla yake kilikuwa Kitabu cha Musa kilichokuwa kiongozi na rehema"

2. Ni kitabu gani ambacho Nabii Issa alipewa?.

Quran 19 : 30
"Hakika mimi ni mja wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu na amenifanya Nabii."

Ilhali Injili iliandikwa na Wanafunz wa Yesu.

3. Kwanini ilichukua miaka 23 kukamilika wakat Quran yote ilishushwa siku moja usiku kwenye mwez wa ramadhan Laylatul-Qadr

(Lauhul-Mahfuz mpaka Baitul-'Izzah).

4. Ameshushiwa Mohamed ila walioiandika ni wafuasi wake baada ya yeye kufa.

Kwanini asingekusanya na kupanga aya zote na kukamilisha kitabu kamili yeye mwenyewe?.
Kama alivyodai kuwa amepewa Kitabu.

5. Muislam wa kwanza ni Mtume Mohamed.
Kama sio sahihi naomba mnijibu kwa kutumia Quran huku ukiweka pia akilini maana ya kusilimu na shahada.

Jagina Kazakh destroyer adriz gallow bird Covax hateeb10 na wengine niliowasahau naomba mnisaidie kujibu.

Pia kwasababu Quran ina amini kwenye Torati ,Zaburi na Injili.

Ina maana maneno yote ya vitabu hivi ni ya kweli kwasababu hauwez kuchagua baadhi na kuacha baadhi.

Kukataa haya naomba uniwekee aya ya Quran inayokanusha.
 
Uislamu ni dini ambayo Allaah ameichagua kama mfumo sahihi wa maisha kwa Wanadamu wote na tokea Nabii wa kwanza Baba yetu Aadam (Peace be upon Him ) alikuwa Muislamu na Manabii wote Musa , Yesu , Nuhu , Ibrahimu , Yakubu nk (Amani iwe juu yao wote ) dini yao ilikuwa ni Uislamu na walilingania katika Uislamu .

Sheria tu zilitofautiana kutoka na zama lakini misingi mikuu ile ile ambapo msingi mkuu unawaunganisha wote kuwafanya wawe Waislamu ni Tawheed maana yake kumpwekesha Mola muumba pekee kwa kumuabudia yeye tu bila kumshirikisha . Ndio maana hakuna Nabii akiyekuja kudai kuwa yeye ni Mungu au kiabudiwe kingine kinyume na Mungu muumba (Allaah)

Manabii wote walikuja kukingania watu waachane na maovu , wafanye mema kwa kumtii mola wao huo ndio Uislamu . Uislamu maana yake ni kujisalimisha kwa Allaah mola muumba kwa kumuabudu yeye pekee bila kumshirikisha kufuata maarisho yake na kuacha makatazo kama jinsi alivyoolekeza kupitia Manabii na wajumbe wake.

Ndio maana tunasema Uislamu ukikuwepo tokea mwanzo na Manabii wote walikuwa Waislamu sababu walikuwa kwenye misingi hiyo , tofauti ipo kwenye baadhi ya Sheria tu sawa na Leo I phone zote ni I phone zina sifa za kipekee kuitwa I phone pamoja na kuwa na matoleo tofauti kutokana na maboresho ila sifa za kipee zinazofanya kuwa I phone lazima zitabaki kama msingi
 
Uislamu ni dini ambayo Allaah ameichagua kama mfumo sahihi wa maisha kwa Wanadamu wote na tokea Nabii wa kwanza Baba yetu Aadam (Peace be upon Him ) alikuwa Muislamu na Manabii wote Musa , Yesu , Nuhu , Ibrahimu , Yakubu nk (Amani iwe juu yao wote ) dini yao ilikuwa ni Uislamu na walilingania katika Uislamu .

Sheria tu zilitofautiana kutoka na zama lakini misingi mikuu ile ile ambapo msingi mkuu unawaunganisha wote kuwafanya wawe Waislamu ni Tawheed maana yake kumpwekesha Mola muumba pekee kwa kumuabudia yeye tu bila kumshirikisha . Ndio maana hakuna Nabii akiyekuja kudai kuwa yeye ni Mungu au kiabudiwe kingine kinyume na Mungu muumba (Allaah)

Manabii wote walikuja kukingania watu waachane na maovu , wafanye mema kwa kumtii mola wao huo ndio Uislamu . Uislamu maana yake ni kujisalimisha kwa Allaah mola muumba kwa kumuabudu yeye pekee bila kumshirikisha kufuata maarisho yake na kuacha makatazo kama jinsi alivyoolekeza kupitia Manabii na wajumbe wake.

Ndio maana tunasema Uislamu ukikuwepo tokea mwanzo na Manabii wote walikuwa Waislamu sababu walikuwa kwenye misingi hiyo , tofauti ipo kwenye baadhi ya Sheria tu sawa na Leo I phone zote ni I phone zina sifa za kipekee kuitwa I phone pamoja na kuwa na matoleo tofauti kutokana na maboresho ila sifa za kipee zinazofanya kuwa I phone lazima zitabaki kama msingi
Haya uliyosema ni maneno ya Mungu? ya Allah ama ni maneno ya watu waliojipachika au kupachikwa majina ya mitume na manabii?
 
Uislamu ni dini ambayo Allaah ameichagua kama mfumo sahihi wa maisha kwa Wanadamu wote na tokea Nabii wa kwanza Baba yetu Aadam (Peace be upon Him ) alikuwa Muislamu na Manabii wote Musa , Yesu , Nuhu , Ibrahimu , Yakubu nk (Amani iwe juu yao wote ) dini yao ilikuwa ni Uislamu na walilingania katika Uislamu .

Sheria tu zilitofautiana kutoka na zama lakini misingi mikuu ile ile ambapo msingi mkuu unawaunganisha wote kuwafanya wawe Waislamu ni Tawheed maana yake kumpwekesha Mola muumba pekee kwa kumuabudia yeye tu bila kumshirikisha . Ndio maana hakuna Nabii akiyekuja kudai kuwa yeye ni Mungu au kiabudiwe kingine kinyume na Mungu muumba (Allaah)

Manabii wote walikuja kukingania watu waachane na maovu , wafanye mema kwa kumtii mola wao huo ndio Uislamu . Uislamu maana yake ni kujisalimisha kwa Allaah mola muumba kwa kumuabudu yeye pekee bila kumshirikisha kufuata maarisho yake na kuacha makatazo kama jinsi alivyoolekeza kupitia Manabii na wajumbe wake.

Ndio maana tunasema Uislamu ukikuwepo tokea mwanzo na Manabii wote walikuwa Waislamu sababu walikuwa kwenye misingi hiyo , tofauti ipo kwenye baadhi ya Sheria tu sawa na Leo I phone zote ni I phone zina sifa za kipekee kuitwa I phone pamoja na kuwa na matoleo tofauti kutokana na maboresho ila sifa za kipee zinazofanya kuwa I phone lazima zitabaki kama msingi
Allah ni nani?
Who is Allah?
 
Mtume alishushiwa Quran miaka 600+ baada ya Uyahudi na Ukristo kuwepo.
Kwa mtindo wa Wahyi na mara 2 kwa kuonana ana kwa ana na Jibril.

Swali langu,
1. Imewezekanaje Quran kuwe na visa vya wana wa Waisrael. Ina maana na vywenyewe Mohamed alikuwa anaoteshwa?.

(Yona au Yunus, ibrahim , sodoma na gomora nk)
Hizi zote Jibril alimfunulia Mohamed sio? Kwamba hakuwa anazijua na waarabu walikuwa hawazifahamu?.

(Hapa Nina maanisha visa ambazo haviko kwenye Torati, ) je zilishushwa na Allah kwa wahyi?.
Na Kwa ufafanuzi zaid Tourat ni kitabu kimoja alichoshushiwa Musa
Al-Isra 17:2
"Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya kuwa ni uongofu kwa Wana wa Israili...
Al-Ahqaf 46:12
"Na kabla yake kilikuwa Kitabu cha Musa kilichokuwa kiongozi na rehema"

2. Ni kitabu gani ambacho Nabii Issa alipewa?.

Quran 19 : 30
"Hakika mimi ni mja wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu na amenifanya Nabii."

Ilhali Injili iliandikwa na Wanafunz wa Yesu.

3. Kwanini ilichukua miaka 23 kukamilika wakat Quran yote ilishushwa siku moja usiku kwenye mwez wa ramadhan Laylatul-Qadr

(Lauhul-Mahfuz mpaka Baitul-'Izzah).

4. Ameshushiwa Mohamed ila walioiandika ni wafuasi wake baada ya yeye kufa.

Kwanini asingekusanya na kupanga aya zote na kukamilisha kitabu kamili yeye mwenyewe?.
Kama alivyodai kuwa amepewa Kitabu.

5. Muislam wa kwanza ni Mtume Mohamed.
Kama sio sahihi naomba mnijibu kwa kutumia Quran huku ukiweka pia akilini maana ya kusilimu na shahada.

Jagina Kazakh destroyer adriz gallow bird Covax hateeb10 na wengine niliowasahau naomba mnisaidie kujibu.

Pia kwasababu Quran ina amini kwenye Torati ,Zaburi na Injili.

Ina maana maneno yote ya vitabu hivi ni ya kweli kwasababu hauwez kuchagua baadhi na kuacha baadhi.

Kukataa haya naomba uniwekee aya ya Quran inayokanusha.
𝗞𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗸𝗮𝗯𝗶𝘀𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘂𝗺𝗯𝗲 𝗸𝗶𝗺𝗲𝗸𝗮𝗺𝗶𝗹𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝗶𝗹𝗮 𝗸𝗶𝘁𝘂? 𝗻𝗮 𝘀𝗮𝗮 𝗻𝘆𝗶𝗻𝗴𝗶𝗻𝗲 𝗵𝗮𝘁𝘂𝗼𝗻𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗶𝗹𝗶𝗺 𝘆𝗲𝘁𝘂 𝗻𝗱𝗼𝗴𝗼. 𝗡𝗶𝗹𝗶𝘀𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝗮 𝘀𝗶𝗸𝘂 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗻𝗮𝘇𝘂𝗼𝗻𝗶 𝗺𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗮𝗹𝗶𝗻𝗶𝗳𝘂𝗻𝗴𝘂𝗹𝗶𝗮 𝗮𝘆𝗮.𝘇𝗲𝗻𝘆𝗲

😃 𝗜𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺,𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿,

😀𝗔𝗿𝘁𝗶𝗳𝗶𝗰𝗶𝗮𝗹 𝗶𝗻𝘁𝗲𝗹𝗹𝗶𝗴𝗲𝗻𝗰𝗲( 𝗔𝗜)

😀𝗣𝗹𝗮𝘆 𝘀𝘁𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻

😀𝗥𝗼𝗯𝗯𝗼𝘁

😃 𝘀𝗺𝗮𝗿𝘁 𝗽𝗵𝗼𝗻𝗲𝘀


𝗞𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗺𝘄𝗮𝗿𝗮𝗯𝘂 𝗸𝗶𝗯𝗼𝗸𝗼 𝗮𝗺𝗲𝘁𝘂𝗹𝗶𝘁𝗲𝗮 𝗸𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗸𝗶𝗹𝗶𝗰𝗵𝗼𝗸𝗮𝗺𝗶𝗹𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝗶𝘀𝗶𝗰𝗵𝗼 𝗻𝗮 𝘀𝗵𝗮𝗸𝗮 𝗵𝗮𝘀𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗻𝗱𝗼𝗮 𝘇𝗮 𝘃𝗶𝘁𝗼𝘁𝗼 𝘃𝘆𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 6, 𝗸𝘂𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮 𝗻𝗴𝗼𝗻𝗼 𝗮𝗵𝗲𝗿𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗶𝗻𝗷 72 𝘆𝗮𝗶𝘁𝘄𝗮𝘆𝗼 𝗺𝗮𝗵𝘂𝗿𝘂𝗿𝗮𝗶𝗻 𝗻𝗸
 
Wanadamu wote na tokea Nabii wa kwanza Baba yetu Aadam (Peace be upon Him ) alikuwa Muislamu na Manabii wote Musa , Yesu , Nuhu , Ibrahimu , Yakubu nk (Amani iwe juu yao wote ) dini yao ilikuwa ni Uislamu na walilingania katika Uislamu .
Acha fix na cheap cheating, mtu unakuwaje muislamu wakati uislamu umekuja nyuma yako?!
Yaani ni sawa na kusema Kinjekitile Ngware alikuwa mwana TANU, inaingia akilini?! Uislamu umekuja miaka 600+ baada ya kufa kwa Nabii Issa aka Jesus.
 
Uislamu ni tamko la mwisho la ujumbe wa asili wa Umoja wa Mwenyezi Mungu. Maana yake ni kujisalimisha kikamilifu kwa Mola Mmoja wa haki, Mlezi wa viumbe vyote, Mwenye uwezo wote, aliyeko kila mahali, na Msimamizi wa dunia na wanadamu. Anayejisalimisha kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu huitwa Muislamu.

Uislamu unasisitiza kwamba Mwenyezi Mungu (Allah) ndiye Muumba na Mtawala wa kila kitu, na mwanadamu ni khalifa Wake duniani. Hali hii humuinua mwanadamu hadi katika cheo cha heshima na utu, akiwa ni naibu wa Mwenyezi Mungu katika ardhi, na huipa maisha yake kusudi tukufu: kutekeleza mapenzi ya Mwenyezi Mungu duniani. Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, Mwenyezi Mungu alimuumba mwanadamu awe msimamizi wa dunia. Mwanadamu hupata uwezo juu ya maumbile na ulimwengu kwa njia ya elimu na juhudi, yaani kwa maarifa na matendo.

Uislamu unafundisha kuwa wanadamu wote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu na ni sawa mbele Yake. Ubaguzi wowote unaotokana na rangi, tabaka, kabila au eneo hauna msingi wa haki, bali ni dhana ya upotofu iliyosalia kutoka zama za ujinga zilizowafunga wanadamu katika minyororo ya utumwa.

Mwenyezi Mungu ameteremsha uongofu Wake kupitia Manabii Wake na Vitabu Vitakatifu kwa baadhi ya Mitume Wake. Muhammad (rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) ndiye Mtume na Nabii wa mwisho, na Qur’ani Tukufu ni ufunuo wa mwisho kwa wanadamu wote.

Mafundisho ya Uislamu ni mepesi, wazi na yanayoeleweka, hayana khurafa wala imani zisizo na mantiki. Umoja wa Mwenyezi Mungu ( One ness au Tawhid), Utume wa Muhammad (s.a.w), na imani ya maisha ya Akhera ni misingi mikuu ya imani ya Kiislamu. Mafundisho yote ya Uislamu hutokana na misingi hiyo. Hakuna daraja la makasisi, hakuna nadharia tata zisizoeleweka, wala ibada nzito na ngumu.

Uislamu ni mfumo kamili wa maisha, si dini kwa maana finyu iliyozoeleka, kwani hauishii katika maisha binafsi pekee, bali unatoa mwongozo kamili katika kila nyanja ya maisha ya mwanadamu.

Mwenyezi Mungu hana mshirika wala msaidizi katika Uungu au mamlaka Yake. Yuko juu ya maumbile Yake, hana umbo la kimwili, wala hayupo katika kitu chochote cha kimaada.

Katika Uislamu, hakuna mfano unaolingana na Yeye, japokuwa wanadamu wanaweza kujitahidi kuakisi baadhi ya sifa Zake kama haki, rehema na uadilifu. Mwenyezi Mungu hana mtoto, hana kabila, hana jinsia, hana mwili, wala haguswi na sifa za maisha ya kibinadamu.

Wanadamu kwa asili yao ya kiroho wameumbwa katika hali ya Uislamu (fitra), lakini kwa kuwa wamepewa akili, uamuzi na hiari, wanaweza kubaki katika njia ya uchamungu na uongofu kuelekea radhi na thawabu za Mwenyezi Mungu, au wanaweza kupotoka kutokana na malezi na chaguo zao za maisha. Qur’ani Tukufu inasisitiza kuwa hakuna kulazimishwa katika dini.

Jukumu la Muhammad (s.a.w) kama Nabii wa mwisho lilikuwa kuthibitisha mafundisho ya kweli ya Manabii waliomtangulia, na maisha yake ni mfano mkamilifu wa kuufuata Uislamu kwa ukamilifu.

Waislamu wanaamini Malaika, viumbe wasioonekana wanaomuabudu Mwenyezi Mungu na kutekeleza amri Zake katika ulimwengu mzima.

Waislamu pia wanaamini kwamba Siku ya Kiyama, wanadamu watahukumiwa kwa matendo yao ya duniani. Ujuzi wa wakati wa siku hiyo uko kwa Mwenyezi Mungu pekee; hakuna ajuaye isipokuwa Yeye (Qur’ani 7:187).

Qadar (makadirio ya Mwenyezi Mungu), ambayo ni miongoni mwa nguzo za imani, ina maana kwamba kila linalompata mwanadamu limo ndani ya elimu na maamuzi ya Mwenyezi Mungu. Muumini anapaswa kuyapokea mema kwa shukrani na mabaya kwa subira. Dhana hii haipingani na hiari ya mwanadamu, kwani wanadamu hawajui makadirio ya Mwenyezi Mungu kabla ya kutokea, hivyo wana uhuru wa kuchagua.

Qur’ani Tukufu inasema: “Mwenyezi Mungu haibebeshi nafsi mzigo unaozidi uwezo wake.” Hivyo, Uislamu hauhimizi kujitenga na dunia au useja wa lazima. Dunia si ufalme wa Shetani, wala mwili si makao ya dhambi.
Katika Injili za Kikristo, Mungu huitwa Baba; katika Qur’ani Tukufu, Yeye ni Mola.
Kauli Allahu Akbar (Mwenyezi Mungu ni Mkuu) inathibitisha kuwa hakuna mola anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Mwenyezi Mungu pekee.
 
Uislamu ni tamko la mwisho la ujumbe wa asili wa Umoja wa Mwenyezi Mungu. Maana yake ni kujisalimisha kikamilifu kwa Mola Mmoja wa haki, Mlezi wa viumbe vyote, Mwenye uwezo wote, aliyeko kila mahali, na Msimamizi wa dunia na wanadamu. Anayejisalimisha kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu huitwa Muislamu.

Uislamu unasisitiza kwamba Mwenyezi Mungu (Allah) ndiye Muumba na Mtawala wa kila kitu, na mwanadamu ni khalifa Wake duniani. Hali hii humuinua mwanadamu hadi katika cheo cha heshima na utu, akiwa ni naibu wa Mwenyezi Mungu katika ardhi, na huipa maisha yake kusudi tukufu: kutekeleza mapenzi ya Mwenyezi Mungu duniani. Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, Mwenyezi Mungu alimuumba mwanadamu awe msimamizi wa dunia. Mwanadamu hupata uwezo juu ya maumbile na ulimwengu kwa njia ya elimu na juhudi, yaani kwa maarifa na matendo.

Uislamu unafundisha kuwa wanadamu wote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu na ni sawa mbele Yake. Ubaguzi wowote unaotokana na rangi, tabaka, kabila au eneo hauna msingi wa haki, bali ni dhana ya upotofu iliyosalia kutoka zama za ujinga zilizowafunga wanadamu katika minyororo ya utumwa.

Mwenyezi Mungu ameteremsha uongofu Wake kupitia Manabii Wake na Vitabu Vitakatifu kwa baadhi ya Mitume Wake. Muhammad (rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) ndiye Mtume na Nabii wa mwisho, na Qur’ani Tukufu ni ufunuo wa mwisho kwa wanadamu wote.

Mafundisho ya Uislamu ni mepesi, wazi na yanayoeleweka, hayana khurafa wala imani zisizo na mantiki. Umoja wa Mwenyezi Mungu ( One ness au Tawhid), Utume wa Muhammad (s.a.w), na imani ya maisha ya Akhera ni misingi mikuu ya imani ya Kiislamu. Mafundisho yote ya Uislamu hutokana na misingi hiyo. Hakuna daraja la makasisi, hakuna nadharia tata zisizoeleweka, wala ibada nzito na ngumu.

Uislamu ni mfumo kamili wa maisha, si dini kwa maana finyu iliyozoeleka, kwani hauishii katika maisha binafsi pekee, bali unatoa mwongozo kamili katika kila nyanja ya maisha ya mwanadamu.

Mwenyezi Mungu hana mshirika wala msaidizi katika Uungu au mamlaka Yake. Yuko juu ya maumbile Yake, hana umbo la kimwili, wala hayupo katika kitu chochote cha kimaada.

Katika Uislamu, hakuna mfano unaolingana na Yeye, japokuwa wanadamu wanaweza kujitahidi kuakisi baadhi ya sifa Zake kama haki, rehema na uadilifu. Mwenyezi Mungu hana mtoto, hana kabila, hana jinsia, hana mwili, wala haguswi na sifa za maisha ya kibinadamu.

Wanadamu kwa asili yao ya kiroho wameumbwa katika hali ya Uislamu (fitra), lakini kwa kuwa wamepewa akili, uamuzi na hiari, wanaweza kubaki katika njia ya uchamungu na uongofu kuelekea radhi na thawabu za Mwenyezi Mungu, au wanaweza kupotoka kutokana na malezi na chaguo zao za maisha. Qur’ani Tukufu inasisitiza kuwa hakuna kulazimishwa katika dini.

Jukumu la Muhammad (s.a.w) kama Nabii wa mwisho lilikuwa kuthibitisha mafundisho ya kweli ya Manabii waliomtangulia, na maisha yake ni mfano mkamilifu wa kuufuata Uislamu kwa ukamilifu.

Waislamu wanaamini Malaika, viumbe wasioonekana wanaomuabudu Mwenyezi Mungu na kutekeleza amri Zake katika ulimwengu mzima.

Waislamu pia wanaamini kwamba Siku ya Kiyama, wanadamu watahukumiwa kwa matendo yao ya duniani. Ujuzi wa wakati wa siku hiyo uko kwa Mwenyezi Mungu pekee; hakuna ajuaye isipokuwa Yeye (Qur’ani 7:187).

Qadar (makadirio ya Mwenyezi Mungu), ambayo ni miongoni mwa nguzo za imani, ina maana kwamba kila linalompata mwanadamu limo ndani ya elimu na maamuzi ya Mwenyezi Mungu. Muumini anapaswa kuyapokea mema kwa shukrani na mabaya kwa subira. Dhana hii haipingani na hiari ya mwanadamu, kwani wanadamu hawajui makadirio ya Mwenyezi Mungu kabla ya kutokea, hivyo wana uhuru wa kuchagua.

Qur’ani Tukufu inasema: “Mwenyezi Mungu haibebeshi nafsi mzigo unaozidi uwezo wake.” Hivyo, Uislamu hauhimizi kujitenga na dunia au useja wa lazima. Dunia si ufalme wa Shetani, wala mwili si makao ya dhambi.
Katika Injili za Kikristo, Mungu huitwa Baba; katika Qur’ani Tukufu, Yeye ni Mola.
Kauli Allahu Akbar (Mwenyezi Mungu ni Mkuu) inathibitisha kuwa hakuna mola anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Mwenyezi Mungu pekee.
Mola wa HAKI au wa amani??
 
Masimulizi ya Manabii wote yalisha ongelewa:
Na yanafahamika miaka mingi iliyopita kwa ushahii wa kihistoria na ki akolojia:
Anakuja mtu anasimulia mambo yanayo IGA habari zile zile Tena kwa kukosea kosea:
Huo tuuone kama Wahayi au Historia iliyokwisha julikana?

Inamaana habari za Musa ni mpya?
Hivi ni zaidi ya vichekesho
 
Kama Adamu alikua Mwislamu alishahidia
Ash-hadu an la ilaha illa Allah, Wa ash-hadu anna Muhammadan Rasulu-Allah.”
Na kama hakushaadia anapataje sifa za kua Mwislamu bila Shaada?
adriz Jagina Covax Busu la Kenge
Mudi is a disgrace. Hata story za Alexander the great alivyosikia na kusimuliwa tu akavichomeka.
 
Mtume alishushiwa Quran miaka 600+ baada ya Uyahudi na Ukristo kuwepo.
Kwa mtindo wa Wahyi na mara 2 kwa kuonana ana kwa ana na Jibril.

Swali langu,
1. Imewezekanaje Quran kuwe na visa vya wana wa Waisrael. Ina maana na vywenyewe Mohamed alikuwa anaoteshwa?.

(Yona au Yunus, ibrahim , sodoma na gomora nk)
Hizi zote Jibril alimfunulia Mohamed sio? Kwamba hakuwa anazijua na waarabu walikuwa hawazifahamu?.

(Hapa Nina maanisha visa ambazo haviko kwenye Torati, ) je zilishushwa na Allah kwa wahyi?.
Na Kwa ufafanuzi zaid Tourat ni kitabu kimoja alichoshushiwa Musa
Al-Isra 17:2
"Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya kuwa ni uongofu kwa Wana wa Israili...
Al-Ahqaf 46:12
"Na kabla yake kilikuwa Kitabu cha Musa kilichokuwa kiongozi na rehema"

2. Ni kitabu gani ambacho Nabii Issa alipewa?.

Quran 19 : 30
"Hakika mimi ni mja wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu na amenifanya Nabii."

Ilhali Injili iliandikwa na Wanafunz wa Yesu.

3. Kwanini ilichukua miaka 23 kukamilika wakat Quran yote ilishushwa siku moja usiku kwenye mwez wa ramadhan Laylatul-Qadr

(Lauhul-Mahfuz mpaka Baitul-'Izzah).

4. Ameshushiwa Mohamed ila walioiandika ni wafuasi wake baada ya yeye kufa.

Kwanini asingekusanya na kupanga aya zote na kukamilisha kitabu kamili yeye mwenyewe?.
Kama alivyodai kuwa amepewa Kitabu.

5. Muislam wa kwanza ni Mtume Mohamed.
Kama sio sahihi naomba mnijibu kwa kutumia Quran huku ukiweka pia akilini maana ya kusilimu na shahada.

Jagina Kazakh destroyer adriz gallow bird Covax hateeb10 na wengine niliowasahau naomba mnisaidie kujibu.

Pia kwasababu Quran ina amini kwenye Torati ,Zaburi na Injili.

Ina maana maneno yote ya vitabu hivi ni ya kweli kwasababu hauwez kuchagua baadhi na kuacha baadhi.

Kukataa haya naomba uniwekee aya ya Quran inayokanusha.

Umeandika :

Ilhali Injili iliandikwa na Wanafunz wa Yesu.

Kumbe Paulo naye alikuwa mwanafunzi wa Yesu ?
 
Mudi is a disgrace. Hata story za Alexander the grace alivyosikia akavichomeka.

Unaongelea Mudi , huyu Mudrick alokuiwa mchezaji wa Real Madrid ?? Alexander the Grace ni kiumbe gani hicho au ndiyo mafundisho ya Nabii wako Tito hayo ??
 
Kama Adamu alikua Mwislamu alishahidia
Ash-hadu an la ilaha illa Allah, Wa ash-hadu anna Muhammadan Rasulu-Allah.”
Na kama hakushaadia anapataje sifa za kua Mwislamu bila Shaada?
adriz Jagina Covax Busu la Kenge
Ili watu wengi wasiojielewa wanunue kwa wingi bidhaa za Samsug:
Wakidhani Samsung
Panahitajika D mbili hapo?
 
𝗞𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗸𝗮𝗯𝗶𝘀𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗻𝗮 𝗸𝘂𝗺𝗯𝗲 𝗸𝗶𝗺𝗲𝗸𝗮𝗺𝗶𝗹𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝗶𝗹𝗮 𝗸𝗶𝘁𝘂? 𝗻𝗮 𝘀𝗮𝗮 𝗻𝘆𝗶𝗻𝗴𝗶𝗻𝗲 𝗵𝗮𝘁𝘂𝗼𝗻𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗶𝗹𝗶𝗺 𝘆𝗲𝘁𝘂 𝗻𝗱𝗼𝗴𝗼. 𝗡𝗶𝗹𝗶𝘀𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝗮 𝘀𝗶𝗸𝘂 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗻𝗮𝘇𝘂𝗼𝗻𝗶 𝗺𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗮𝗹𝗶𝗻𝗶𝗳𝘂𝗻𝗴𝘂𝗹𝗶𝗮 𝗮𝘆𝗮.𝘇𝗲𝗻𝘆𝗲

😃 𝗜𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺,𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿,

😀𝗔𝗿𝘁𝗶𝗳𝗶𝗰𝗶𝗮𝗹 𝗶𝗻𝘁𝗲𝗹𝗹𝗶𝗴𝗲𝗻𝗰𝗲( 𝗔𝗜)

😀𝗣𝗹𝗮𝘆 𝘀𝘁𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻

😀𝗥𝗼𝗯𝗯𝗼𝘁

😃 𝘀𝗺𝗮𝗿𝘁 𝗽𝗵𝗼𝗻𝗲𝘀


𝗞𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗺𝘄𝗮𝗿𝗮𝗯𝘂 𝗸𝗶𝗯𝗼𝗸𝗼 𝗮𝗺𝗲𝘁𝘂𝗹𝗶𝘁𝗲𝗮 𝗸𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗸𝗶𝗹𝗶𝗰𝗵𝗼𝗸𝗮𝗺𝗶𝗹𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝗶𝘀𝗶𝗰𝗵𝗼 𝗻𝗮 𝘀𝗵𝗮𝗸𝗮 𝗵𝗮𝘀𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗻𝗱𝗼𝗮 𝘇𝗮 𝘃𝗶𝘁𝗼𝘁𝗼 𝘃𝘆𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 6, 𝗸𝘂𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮 𝗻𝗴𝗼𝗻𝗼 𝗮𝗵𝗲𝗿𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗶𝗻𝗷 72 𝘆𝗮𝗶𝘁𝘄𝗮𝘆𝗼 𝗺𝗮𝗵𝘂𝗿𝘂𝗿𝗮𝗶𝗻 𝗻𝗸

Wacha jaziba mbona ndani ya biblia Eva baada kuumbwa tu , Adam akamchukuwa kama mke wake , hata siku haikufika ?? Soma biblia kijana usihemkwe
 
Back
Top Bottom