Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Wapi hujaelewa.Sheikh mbona unatoa somo kidogo kidogo, funguka. Nimependa analysis yako. Unajua suala hilo la dini ni nyeti lataka wachambuzi kama wewe. Wengine wana hamaki, jazba na matusi. Hapana. Tuelemishane kwa utulivu. Elimu hiyo ijenge misingi ya amani baina Yetu. Amani, Salaam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakueleza kadri ya uwezo wangu.
Masuala ya dini siwezi chukia kabisa.
I have respect for all religions