Ok hembu tafakari vmchukua nchi moja y kiarabu mfano syria kwa harakaharaka unadhani kuna majeshi mangapi kutoka nchi z kigeni........Halafu kitu kingine huwezi kulazimisha DEMOCRACY kwny nchi z kiarabu nakumbua nukuu moja y papa fransis aliyosema kwamba mataifa y kizungu yaangalie uhalisia wa mataifa husika kabla y kuingiza DEMOCRACY
Bin Laden mwenyewe he was filthy rich, tusipuuze kua yapo mataifa ya kiarabu matajiri sana kuliko hao members wa G7. And Qatar is no exception.
Kule arabuni, umoja wa waarabu ulimtaja Qatar kua ndie perpetrator mkuu wa kupalilia ugaidi pale middle East.
Misri nao wakamtolea uvivu Qatar kua ndiye mlezi wa ugaidi. Wangeweza kusema Iran au hata USA au majeshi ya kigeni ama nchi za magharibi.
Tangu waarabu wapate nguvu za kiuchumi duniani kwa hayo mafuta wanayochimba, Ndio fujo hazihishi ulimwenguni. Maarufu kama Arab spring/Arab uprising.
Majeshi ya kigeni sio Militia. Yako pale kulinda their interests.
Tukija case ya hapa Tanzania. Kule Rufiji na kibiti..MKIRU).
Baada ya Prime Minister kuongea na viongozi WA Dini. Aliwataka wachunguze mafundisho yanayofundishwa vijana na watoto wao na elimu ya waalimu wa hivyo vyuo wameipatia wapi.
baadaye mengi sana yaliibuliwa. Kuna vyuo vya ugaidi viko misituni vilichomwa moto kule Manyara, Tanga nk. Kwasababu waislamu wenyewe waliamua kusimama kupambana na hao Barbarians.
Hoja ya demokrasia inakosa mashiko kwasababu hakuna mtu asiyeona kitu kizuri akakikataa. Iweje hao wazungu ambao ustawi wao umetokana na ku-lobby haki za watoto, Binadamu, wahamasishe mauaji hayo?
Zipo picha zinaonyeshwa jinsi watoto wadogo wanavyochinjwa kinyama kwa kukatwa shingo na ISIS, na mwisho hawasemi wanapingana na demokrasia Bali wanaeneza gospel* duniani.
Boko haramu wao wanapingana na Elimu. Their reasons are so absurd.
Hoja za Papa Francis ziliegemea porojo za Obama. Nani hajui kanisa katoliki halielewani na USA.Washington INA malengo ya kuutokomeza ukatoliki duniani. Ni obama pekee aliweka rekodi pale alipomruhusu Papa kuzungumza na seneti.Obama alikua mvumilivu akiamini majadiliano kama suluhisho. Lakini Trump alipokwenda Arabuni alinyoosha maelezo. Ndipo Qatar ikavuliwa nguo zote.
Ukitaka kunielewa vyema, tizama maagizo ya waziri mkuu.
Sent using
Jamii Forums mobile app