Qur'an imewadharau sana waarabu waliohai

Qur'an imewadharau sana waarabu waliohai

Hiv unajua zilikuwepo Qur'an tano. Mpaka agizo lilipotoka nyingine ziteketezwe ibaki moja
Hakuna kabisa huo ni uwongo Qur'an ni hio hio moja sema wandishi wako walitumia accent za kikwao sio za kiarabu original hapo ndio wakatazama nani aliye kuja na kiarabu kizuri kuliko walio tumia kiarabu kwa accent za kikwao.
 
Miongoni mwa miujiza ya Qur'an na kwamba ni kitabu chenye muongozo kwa wanadamu wote ni kule kutoonewa haya waarabu ambao kitabu hicho kimeteremshwa kwa lugha yao.

Kuonesha kuwa ni maneno ya Allah aliyeumba ulimwengu wote basi hata Mtume Muhammad rehma ziwe juu yake haikumoenea haya wala haikumpa fursa akaingiza lolote la kwake.Mfano maarrufu ni pale siku moja alipokuwa ameshughulika na kuwalingania matajiri na watu maarufu wa Makka ili waingie kwenye Uislamu.Muda huo huo akatokea maskini mmoja ambaye ni kipofu akaomba naye afahamishwe jambo.Mtume akakunja uso kuona anamkera katika muda muhimu wa kuzungumza na watukufu wa Makka.Sura nzima ikashuka kumkemea kwa kitendo chake hicho.Sura hiyo akaendelea kuisoma na alipokufa imebaki hivyo hivyo.
Mwanamke aliyetajwa ni mmbora ni mama yake Yesu as na wala mama yake mwenyewe wala mtoto wake wa kike kipenzi wala mke wake yeyote yule.
Qur'an kujulisha kuwa ni ya watu wote ina matamko mengi sana yanayowaita ENYI WATU kwa ajili ya wachina ,wajapani,wahindi na wote wengine ambao hawajinasibishi na vitabu kutoka kwa Allah.

Vile vile kwa ajili ya kuwaita kwenye uislamu ina matamko yanayowaita wakristo na mayahudi kuachana na upotovu na kufuata mafundisho ambayo yameboreshwa yaliyo kwenye uislamu.Matamko hayo ni kama vile ENYI WATU WA KITABU!

Upande wa waarabu wale waliokuwa kabla ya Mtume saw na wale alioishi nao hawakuachwa kutajwa kwa maovu waliyokuwa wakiyatenda.yote hayo ni kuonesha Qur'an ni kwa ajili ya muongozo kwa wote.

Waarabu walio hai miaka hii nao wamepewa vidonge vyao kwenye aya nyingi za Qur'an,baadhi yake ni kwenye surat Towba.Tuone aya mbili tu kati ya hizo, ya 19 na 20

أَجَعَلْتُمْ سِقَايَةَ الْحَاجِّ وَعِمَارَةَ الْمَسْجِدِ الْحَرَامِ كَمَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَجَاهَدَ فِي سَبِيلِ اللَّهِ ۚ لَا يَسْتَوُونَ عِندَ اللَّهِ ۗ وَاللَّهُ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ

١٩﴾‏ الَّذِينَ آمَنُوا وَهَاجَرُوا وَجَاهَدُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ بِأَمْوَالِهِمْ وَأَنفُسِهِمْ أَعْظَمُ دَرَجَةً عِندَ اللَّهِ ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَائِزُونَ ‎﴿
Je, mnafanya kuwanywesha maji Mahujaji na kuamirisha Msikiti Mtakatifu ni sawa na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu, na Siku ya Mwisho, na akapigana Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu? Hawawi sawa mbele ya Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.19
Wale walio amini, na wakahama, na wakapigana Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao, hao wana cheo kikubwa zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Na hao ndio wenye kufuzu.20


Wanaodharauliwa hapo ni wale ambao wanaujenga msikiti wa Makka (Alkaaba) na kuuwekea teknolojia za kisasa kila mwaka na kuwakirimu vya kutosha mahujaji.Wanawapa maji ya zam zam mpaka mengine wanabeba makwao.Baada ya hapo wanaamini ndio wamemaliza ibada na kutenda wema katika dunia na wanabweteka kusubiri msimu ujao..

Wanaodharaulika ni wale ambao wanaojaza malori eneo la Rafah na wakawacha bidhaa ziharibike huku wanaohitaji na wanaokufa kwa njaa wapo mita chache tu kutoka hapo,

Wakudharauliwa na walimwengu wote ni wale wanaonunua silaha na kuzinduka kwenye maghala bila kuzitumia kupigana na yule anayeuwa ndugu zao masafa mafupi tu kuliko wanapoishi.Hao hao ambao wanatoa zawadi ya ndege na mapesa kwa yule anayeongoza kuua ndugu zao wa kiimani.
Mudi alimuasili mtumwa wake Zayd ibn Harithah na akamuozesha kwa Zaynab kwa kumlipia mahari kama mtoto wake na alikua anatumia ubin wa Mudi kama baba yake. Zayd ibn Muhammad

Baadae Mudi akampenda mkwe wake Zaynab wakati anaugonvi na mtoto wake Zayd...... Mudi akatoa go ahead AMUACHE

Kwakuwa alimpenda Zaynab alipo pewa tu talaka akataka kumuoa.... Maswahiba wake wakamwambia kisheria hairuhusiwi kuoa mke wa mtoto wako wa kuasili

Mudi akaona isiwe kesi akajishushia aya kwenye kuruani 33:37 inayo mfavor kwa kupiga marufuku mtu kuasili mtoto..... hapo Mudi akajihalalishia kuoa mke wa mtoto wake.

Hii ni simulizi moja tu kati ya nyingi Mudi alijipendelea
 
Miongoni mwa miujiza ya Qur'an
Acha uongo wa kipumbavu Quran haina muujiza wowote hata Mtume wenu aliambiwa amezuiliwa miujiza wowote ule.. so ukikazia ni muujiza unakuwa unabishana na Allah ili aonekane hana akili. Quran 17:59

We refrain from sending signs (miracles) only because the men of former generations treated them as false.​

Aya za Koran kila moja ikitamkwa basi direct inapingana na aya yingine kitabu chote. soma hiyo aya eti watu wa kale hawakuamini miujiza wakati ni uongo watu waliamini miujuza yote ya Yesu,Daniel,Musa n.k Uislam ni uongo na bila uongo Uislam unadedi faster.
na kwamba ni kitabu chenye muongozo kwa wanadamu wote ni kule kutoonewa haya waarabu ambao kitabu hicho kimeteremshwa kwa lugha yao.
Quran hakina wa kumuongoza labda waarabu pekee.. na Ushahidi ni Quran yenyewe.. Aya ya Quran 14:4
Wa maaa arsalnaa mir Rasoolin illaa bilisaani qawmihee liyubaiyina lahum fa yudillul laahu mai yashaaa’u wa yahdee mai yashaaa’; wa Huwal ‘Azeezul Hakeem
Na hatukumtuma Mtume ila kwa lugha ya watu wake ili awabainishie, na Allah humpoteza amtakaye na humwongoa amtakaye. Naye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

Tizama aya imejaa ujinga mtupu, Eti anamuongoza amtakaye na anampoteza amtakaye hapo hapo anajidai eti ana hekima? hahaha Hekima au upumbavu huo sasa yaani umpoteze mtu bila sababu??

Kuonesha kuwa ni maneno ya Allah aliyeumba ulimwengu
Ulimwengu hauwezi kuumbwa na Mjinga... Ukitizama aya za Uumbaji utacheka ufe, Allah hajui alianza kuumba nini Aya zingine aliumba kwanza Dunia kisha Mbingu,na Zingine Star,Milima,Maji utacheka hadi Adam aliumbwa Mbinguni wakati kuna aya inasema Aliumba kila kitu Duniani kisha akapaa kuumba Mbingu au anasema aliumba Dunia Saba na Anga saba.. sasa sayari zingine kaziumba nani? ndio ujue Allah ni Liongo ambalo Mudy alijibebesha tu kulipa sifa unknow Goddess hata Musa hajawahi sikia kitu kinaitwa Allah .. Musa alideal na Yahweh.
wote basi hata Mtume Muhammad rehma ziwe juu yake haikumoenea haya wala haikumpa fursa akaingiza lolote la kwake.Mfano maarrufu ni pale siku moja alipokuwa ameshughulika na kuwalingania matajiri na watu maarufu wa Makka ili waingie kwenye Uislamu.Muda huo huo akatokea maskini mmoja ambaye ni kipofu akaomba naye afahamishwe jambo.Mtume akakunja uso kuona anamkera katika muda muhimu wa kuzungumza na watukufu wa Makka.Sura nzima ikashuka kumkemea kwa kitendo chake hicho.Sura hiyo akaendelea kuisoma na alipokufa imebaki hivyo hivyo.
Quran ilimuonya kuwa akiingiza kitu chake atakatwa mshipa mkuu wa Moyo Aotra na ndio ilivyotokea baada ya kuingiza vyake alilishwa Nyama yenye sumu na mwanamke Myahudi aliyewaua muwe na watoto wake kisasi akampa nyama kwa ulafi wa nyama.. Akawa analalamika nasikia mshipa wangu wa moyo unakatika kwa ile nyama niliyokula kule khaibar:- Sahih al-Bukhari 4428 - Book 64, Hadith 450
Narrated `Aisha:
The Prophet (ﷺ) in his ailment in which he died, used to say, "O `Aisha! I still feel the pain caused by the food I ate at Khaibar, and at this time, I feel as if my aorta is being cut from that poison."


Mwanamke aliyetajwa ni mmbora ni mama yake Yesu as na wala mama yake mwenyewe wala mtoto wake wa kike kipenzi wala mke wake yeyote yule.
Kama ni mmbora Mwanae msinge muita Essa jina ambalo arabuni lilijulikana kama Punda alafu aya ya kumzaa Yenu mmemchafua kuwa aliingiliwa na Jibril
Qur'an kujulisha kuwa ni ya watu wote ina matamko mengi sana yanayowaita ENYI WATU kwa ajili ya wachina ,wajapani,wahindi na wote wengine ambao hawajinasibishi na vitabu kutoka kwa Allah.
Acha uongo Japan watu wanaongea Kiarabu? wale Mitume 124,000 aliosema mtume wenu na wanaongea kwa lugha za watu wao na sio kiarabu ambacho ndio Mudy for Arabs.. Fake Muslim wanaongea walivyolishwa Madrassa someni wenyewe mjue chaka mliloingizwa. Sahih - Mishkat al-Masabih 5737, Book 28, Hadith 20

Abu Dharr aliambia kwamba alimuuliza mjumbe wa Allah, Ni nani alikuwa Mtume wa kwanza? naye akajibu kwamba alikuwa ni Adam. Aliuliza kama yeye ni nabii kweli na akajibu, "Ndiyo, alikuwa nabii ambaye alipewa ujumbe." Alimuuliza mtume wa Allah ni wajumbe wangapi walikuwa nae? naye akajibu, "Wameambiwa wote mia tatu na kati ya kumi na ishirini." Katika toleo lililotoka kwa Abu Umama, Abu Dharr aliambia kwamba alimuuliza mjumbe wa Mungu idadi ambayo ilifanya kikamilisho kamili cha Mitume, naye akajibu, "Laki moja na ishirini na nne elfu kati yao walikuwa Mitume mia tatu na kumi na tano wote walioambiwa."

Abu Dharr told that he asked God's messenger who was the first of the prophets and he replied that it was Adam. He asked if he was really a prophet and he replied, "Yes, he was a prophet to whom a message was given." He asked God's messenger how many messengers there had been, and he replied, "There have been three hundred and between ten and twenty all told." In a version on the authority of Abu Umama Abu Dharr told that he had asked God's messenger the number which made up the full complement of the prophets, and he replied, "A hundred and twenty-four thousand among whom were three hundred and fifteen messengers all told."

Hii inazidi kudhihilisha uongo wa Mudy kwani Kusema Ismail alikuwa naye ni Mtume kwa Arabs inamaana yeye si wa Kwanza
Vile vile kwa ajili ya kuwaita kwenye uislamu ina matamko yanayowaita wakristo na mayahudi kuachana na upotovu na kufuata mafundisho ambayo yameboreshwa yaliyo kwenye uislamu.Matamko hayo ni kama vile ENYI WATU WA KITABU!
Quran haina cha kumfundisha Myahudi wala Mkristo wala kufuata ya Quran Aya 2:62 inasema Waote wanaenda Paradiso so we don't need your dini ya waongo. kichekesho Sabian wanaabudu Nyota eti nao wataenda Mbinguni hahahaha sisi hatuwezi kaa na watu wa dini za ajabu ajabu.

Indeed, the believers, Jews, Christians, and Sabians and whoever ˹truly˺ believes in Allah and the Last Day and does good will have their reward with their Lord. And there will be no fear for them, nor will they grieve.[al-Maa’idah 5:69]
Upande wa waarabu wale waliokuwa kabla ya Mtume saw na wale alioishi nao hawakuachwa kutajwa kwa maovu waliyokuwa wakiyatenda.yote hayo ni kuonesha Qur'an ni kwa ajili ya muongozo kwa wote.
Muongozo wa Waarabu only soma acha uvivu - Quran 14:4 We have not sent a messenger except in the language of his people to clarify ˹the message˺ for them
Ukilazimisha unamtusi Allah kuwa ni Bwege na aya za ukichaa Mudy alikuwa ni Muonyaj tu kama hizo aya zako down Kasome Quran 48:8 Njemba hata sio Phofhet Alikuwa Matukio yakitokea ndio anakuja na utunzi wake hahaha
Waarabu walio hai miaka hii nao wamepewa vidonge vyao kwenye aya nyingi za Qur'an,baadhi yake ni kwenye surat Towba.Tuone aya mbili tu kati ya hizo, ya 19 na 20

أَجَعَلْتُمْ سِقَايَةَ الْحَاجِّ وَعِمَارَةَ الْمَسْجِدِ الْحَرَامِ كَمَنْ آمَنَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَجَاهَدَ فِي سَبِيلِ اللَّهِ ۚ لَا يَسْتَوُونَ عِندَ اللَّهِ ۗ وَاللَّهُ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ

١٩﴾‏ الَّذِينَ آمَنُوا وَهَاجَرُوا وَجَاهَدُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ بِأَمْوَالِهِمْ وَأَنفُسِهِمْ أَعْظَمُ دَرَجَةً عِندَ اللَّهِ ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَائِزُونَ ‎﴿
Je, mnafanya kuwanywesha maji Mahujaji na kuamirisha Msikiti Mtakatifu ni sawa na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu, na Siku ya Mwisho, na akapigana Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu? Hawawi sawa mbele ya Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.19
Wale walio amini, na wakahama, na wakapigana Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao, hao wana cheo kikubwa zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Na hao ndio wenye kufuzu.20


Wanaodharauliwa hapo ni wale ambao wanaujenga msikiti wa Makka (Alkaaba) na kuuwekea teknolojia za kisasa kila mwaka na kuwakirimu vya kutosha mahujaji.Wanawapa maji ya zam zam mpaka mengine wanabeba makwao.Baada ya hapo wanaamini ndio wamemaliza ibada na kutenda wema katika dunia na wanabweteka kusubiri msimu ujao..

Wanaodharaulika ni wale ambao wanaojaza malori eneo la Rafah na wakawacha bidhaa ziharibike huku wanaohitaji na wanaokufa kwa njaa wapo mita chache tu kutoka hapo,

Wakudharauliwa na walimwengu wote ni wale wanaonunua silaha na kuzinduka kwenye maghala bila kuzitumia kupigana na yule anayeuwa ndugu zao masafa mafupi tu kuliko wanapoishi.Hao hao ambao wanatoa zawadi ya ndege na mapesa kwa yule anayeongoza kuua ndugu zao wa kiimani.
 
Hakuna kabisa huo ni uwongo Qur'an ni hio hio moja sema wandishi wako walitumia accent za kikwao sio za kiarabu original hapo ndio wakatazama nani aliye kuja na kiarabu kizuri kuliko walio tumia kiarabu kwa accent za kikwao.
Acha undezi wewe wakina Allah wamesema ni kazi yao kukusanya Quran na kuwawekeeni muisome Quran 75:17 Kiama hicho, sasa Quran iko wapi quran ya Allah? au Allah ndie Hafsi mwizi hahahaha Hiyo Quran aliyoikusanya Omary hamna unadanganya watu eti kiarabu kingine hahahaha mkiambiwa uislam ni for Arabs only mnakataa mkiumbuliwa mnazunguka mmbuyu huku na kule... Quran Allah keshasema hadi yeye awaleteeni ndio kazi yake hamna mwingine hahahaha hamna Kitabu na hamtokuja kuitwa watu wa Kitabu kamwe.
 
Hao wakanisa walisha potezwa na champion wa uongo Paulo alivyo ulizwa vipi ulikutana na Yesu

Matendo ya Mitume: 22:6-12 Utakapofika aya ya 9 hapo kuna utata inasema hivi:

6 Ikawa nilipokuwa nikisafiri, nikikaribia Dameski , wakati wa adhuhuri, ghafla nuru kuu ilitoka mbinguni, ikanimulikia pande zote. 7 Nikaanguka nchi, nikasikia sauti ikiniambia, Sauli, Sauli, mbona unaniudhi? 8 Nikajibu, Wewe u nani, Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.
9 Na wale waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti ya yule aliyesema nami. 10 Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uingie Dameski, na huko utaambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa uyafanye. 11 Na nilipokuwa sioni kwa sababu ya fahari ya nuru ile, nikaongozwa na mikono yao waliokuwa pamoja nami, nikaingia Dameski.

Hebu tazameni hapo walio kuwa naye hawakusikia sauti mara akawa kipofu ndio akawapoteza wakristo mpa leo hawajui wanaenda wapi.
Ila Torati na Injil ni vitabu vya Allah vipi sasa Allah mpotezaji naye? Quran 3:3
It is He Who has sent down the Book to you with truth, confirming what came before it. And he sent down the Taurât (Torah) and the Injeel (Gospel).
 
Kuna kitu waarabu wa kizazi hiki wamekigundua kutoka kwenye hizo myth za ancestors wao, wameona wanashikiria traditions ambazo zinawatenga na ulimwengu.
Mwarabu akielimika, dunia itakuwa sehemu salama sana, nasikia washaanza kuruhusu mayii🍻
 
Weka vizuri hoja zako mkuu, Sijaelewa pointi kuu ni nini?
 
Acha undezi wewe wakina Allah wamesema ni kazi yao kukusanya Quran na kuwawekeeni muisome Quran 75:17 Kiama hicho, sasa Quran iko wapi quran ya Allah? au Allah ndie Hafsi mwizi hahahaha Hiyo Quran aliyoikusanya Omary hamna unadanganya watu eti kiarabu kingine hahahaha mkiambiwa uislam ni for Arabs only mnakataa mkiumbuliwa mnazunguka mmbuyu huku na kule... Quran Allah keshasema hadi yeye awaleteeni ndio kazi yake hamna mwingine hahahaha hamna Kitabu na hamtokuja kuitwa watu wa Kitabu kamwe.
We kenge Qur'an iliteremshwa pole pole kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23, si kama unavyo dhania Masahaba mbalimbali wa Mtume Muhammad walirecord na kukariri sehemu za Qur'an kama zilivyoteremshwa. Wao ndio walio andika lakini hawakutoa chochote kwenye vichwa vyao. Waliandika kama walivyo ambiwa na Mtume Muhammad na yeye aliwafikishia kama alivyo shushiwa na Gabriel.
 
Ila Torati na Injil ni vitabu vya Allah vipi sasa Allah mpotezaji naye? Quran 3:3
It is He Who has sent down the Book to you with truth, confirming what came before it. And he sent down the Taurât (Torah) and the Injeel (Gospel).
We kichaa unaona ulivyo mjinga mimi nime quote bibilia zenu Matendo ya Mitume: 22:6-12 we unaleta vitabu vya Mussa na Yesu kwenye Issue ya Paulo hahaha.
 
We kichaa unaona ulivyo mjinga mimi nime quote bibilia zenu Matendo ya Mitume: 22:6-12 we unaleta vitabu vya Mussa na Yesu kwenye Issue ya Paulo hahaha.
Ukichaa ni pale Allah aliposema Thunder (Radi) ni Malaika
Some Jews came to the Messenger of Allaah, sallallaahu 'alayhi wa sallam, and said, “Tell us what thunder is? Muhammad, sallallaahu 'alayhi wa sallam, replied, 'It is an angel from Allaah’s angels that is set over clouds and in whose hands is a Mikhraaq by which he drives clouds away, directing them where Allaah commands him.'”


Taja muislam anayesema Torat ni kitabu kimoja na Injil ni Kitabu kimoja wewe sio Muislam ongea na majirani zako waislam... muislam hawezi kataa Biblia.. Same Bible ndio Allah alimuambia Mohammad kuwa Torah na Injil walizokuwa nazo wayahudi na Wakristo ndio same books hadi leo hii.. Wewe pingana na Allah tu sisi huku tupo na Allah tunacheka tu Ukikataa Biblia na maneno yake automatically umeitia chooni Quran.

Quran 5:46
And We sent, following in their footsteps, Jesus, the son of Mary, confirming that which came before him in the Torah; and We gave him the Gospel, in which was guidance and light and confirming that which preceded it of the Torah as guidance and instruction for the righteous.
 
We kenge Qur'an iliteremshwa pole pole kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23, si kama unavyo dhania Masahaba mbalimbali wa Mtume Muhammad walirecord na kukariri sehemu za Qur'an kama zilivyoteremshwa. Wao ndio walio andika lakini hawakutoa chochote kwenye vichwa vyao. Waliandika kama walivyo ambiwa na Mtume Muhammad na yeye aliwafikishia kama alivyo shushiwa na Gabriel.
hahaha huujui Uislam kwahiyo Hujui Quran ilivyofanyiwa mauzauza ya uongo..

Alafu Mudy aliulizwa Jibril alipokuwa akimjia ilikuwaje? Pia Mudy alikuwa kila akivaa nguo za Aisha na akienda chooni tu akajibu Mtume wenu alisema alikuwa akisikia sauti za kengere hahaha so akawa anaitafsiri kwenda kiarabu.

Grade:Sahih Sunan an-Nasa'i 934

Ilisimuliwa kutoka kwa Aishah kwamba: Al-Harith bin Hisham alimuuliza Mjumbe wa Allah (ﷺ): 'Ujumbe ulikuwa unakuja vipi kwako?' Akasema: 'Kama sauti ya kengele, na hii ni ngumu kwangu. Inapondoka nakumbuka alichosema. Na wakati mwingine Malaika ananitokea katika umbo la mwanaume na kuzungumza nami, na nakumbuka alichosema.' Aishah alisema: 'Nilimuona alipokuwa akiletewa Ujumbe, katika siku za baridi sana, na paji lake la uso lilikuwa likimwaga jasho.'

Cha kwanza ni Muda wa Malaika kwenda kwa Allah ambayo kihesabu ni Miaka 1000 kwenda na Kurudi 1000 hahahaha sasa Aya za Mohammad kutumia miaka 23 ni kichekesho kikuu cha Karne.. Quran 22:47 Pia Quran 70:4 another comedy siku moja ya Allah ni sawa na Miaka elfu 50 kwa binadamu hahahaha hivi mnaabudu mental?

Alafu Sura kibao zimeandikwa na watu wakristo hata Chapter Cow kaandika mkristo akaingia uislam akamuandikia Mudy Sura kadhaa akaona jau akasema nimekuwa nikiandika Sura za Quran na Mohammad hajui chochote ninachoandika
 
Back
Top Bottom