Quran: Huyu Issa bin Maryam ni nani? Kwanini aitwe hivi?

Swala la imani za kidini ni tata sana!, swala la uwepo wake ni jepesi sana kuliamini.Tatizo kuu ni pale baadhi ya watu wanapojikabidhi mamlaka ya kuwashawishi watu kumtii kwa njia wanazozitaka wao!.Hapo ndipo baadhi ya watu wenye logic za ndani mfano Wachina wanapolikataa jambo hilo.Kihulasia kwa sisi wapagani (tusiokubali dini za mapokeo) tunaona mkanganyiko ulio wazi!.Kwani Kuhusu imani ya kuwa Mungu ndiye mwenye mamlaka makuu linaweza likaingia akilini,lakini pale walioanzisha imani hizo wanapojumlisha mienendo ya tamaduni zao kuwa ndio njia za kimaisha kwa waumini hapa si kweli!.Kwani inafika mahala ili uonekane muislam safi basi uishi kwenye tamaduni za kiarabu!,au mkiristo safi basi ukopi maisha ya kizungu!.Tuzinduke Waafrika,maswala ya imani yajikite kwenye kuaminisha ukuu wa mungu lakini njia za kuabudu wajichagulie watu kulingana na tamaduni zao!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini imani ya kikristo inaitwa imani ya kizungu wakati yesu hajawahi kuwa mjerumani, wala mfaransa wala mmarekani. Na mpaka anaondoka sidhani kama alienda huko ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu/Allah alileta mitume kwa wakari maalum na kwa watu maalum. Hasa mitume aliwapa muongozo kwa ajili ya watu wao ambo baadhi ni walipewa vitabu.

Hawa mitume walikuja kwa mtiririko na mwengine waliishi kipindi kimoja. Hii miongozo ama vitabu mafunzo yake yalichukuliwa baadhi kutokana na relevance yake ktk jamii nyengine iliyofuata baadaa ya mitume/nabii wa mwanzo kuondoka.

Vitabu vipo vingi ila maaruu ni vinne, Zaburi, Torati, Injili na Quran. Mtiririko ni kama huu:
1. Zaburi (Daudi/David)
2. Torati ( Musa/Moses, mafundisho ya Zaburi)
3. Injili/Bible ( Jesus/Yesu, inamafundisho ya Torari na Zaburi)
4. Quran (Muhammad, ina mafundisho ya vitabu vyote vilivyopita)

Historia za mitume wote kuanzia Adam na mafundisho yao utayapata kwa usahihi ktk Quran sababu imebeba vitabu vyote vya mitume iliyopita
Malizia sema imekopi vitabu vyote vilivyopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan commet karibu zote ni za wafia dini.
Ukitaka pata ukweli wa jambo weka ushabiki pembeni.
Maswala ya dini muda hu nimeyaeka kando kutokana na sababu mbili tatu japo NAMUAMIN MUNGU.
Navyoelewa juu ya Issa bin maryam.
KWa waislam huyu ni nabii wa 24 kwa manabii 25 ambae alitumwa kwa wana wa israel tu. Amezaliwa bila ya mbegu ya baba kwa iman ya MUNGU AKITAKA JAMBO KUWA NALO LIKAWA tena akizaliwa na bikira Maryam.Ukitaka pata mambo yake mengi soma sura ya 19(maryam) na 3(imrani).
ILA MWISLAM ANAPO TOA MACHO NJEE ANAEZA MFANANISHA YESU KAMA NDO isa kutokana na kufanana kwake vitu vingi .
Ni ngumu mkristo kuamini Issa ndo yesu kutokana na jins Quran inavyomshusha hadhi ISSA wa QURAN kwa kupinga siyo mkombozi wa ulimwengu na hakufa msalabani. Utofauti unazid hasa pale Mwislam kutoiamin BIBLIA kwa madai imeingizwa mkono na kitabu alichopewa ISSA ni INJILI. Baadhi ya waislam huenda mbali zaidi kwa kusema kwanini INJILI YA BARNABA haipo kwenye BIBLIA? kwani ndo inayokiri yesu hakufa msalabani...
KIFUPI HAKUTAEZA KUWA NA MAELEWANO JEE YESU NDO ISSA?? HAPO KILA MTU ATABAKI AMINI TUU KAMA IMANI YAKE INAVYOTAKA
 
Mungu/Allah alileta mitume kwa wakari maalum na kwa watu maalum. Hasa mitume aliwapa muongozo kwa ajili ya watu wao ambo baadhi ni walipewa vitabu.

Hawa mitume walikuja kwa mtiririko na mwengine waliishi kipindi kimoja. Hii miongozo ama vitabu mafunzo yake yalichukuliwa baadhi kutokana na relevance yake ktk jamii nyengine iliyofuata baadaa ya mitume/nabii wa mwanzo kuondoka.

Vitabu vipo vingi ila maaruu ni vinne, Zaburi, Torati, Injili na Quran. Mtiririko ni kama huu:
1. Zaburi (Daudi/David)
2. Torati ( Musa/Moses, mafundisho ya Zaburi)
3. Injili/Bible ( Jesus/Yesu, inamafundisho ya Torari na Zaburi)
4. Quran (Muhammad, ina mafundisho ya vitabu vyote vilivyopita)

Historia za mitume wote kuanzia Adam na mafundisho yao utayapata kwa usahihi ktk Quran sababu imebeba vitabu vyote vya mitume iliyopita
nice explanations. sasa kama kitabu cha quran kimehitimisha vitabu vingine kwahiyo kimeprove kwamba Issa na Yesu na Maryam na Maryam wa biblia na Quran ni watu wawili tofauti?
 
Kwa lugha ya Kiarabu neno "ibnu" maana yake ni "mtoto." Kwa hivyo anapoitwa Issa ibn Maryam maana yake ni Issa mtoto wa Maryam. Ameitwa hivyo kwa sababu yeye alizaliwa na bibi Maryam bila ya baba. Hii ni miongoni mwa uwezo wa Mwenyezimungu kufanya alitakalo.
 
Back
Top Bottom