Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,280
- 14,099
Sawa mkuu, mshaharaNdugu yangu ata Roma wamekipiga marufuku? au ata marekani au uingereza wamekipiga marufuku mkuu acha masikhara aisee ww kitafute utakipata hizo nchi nilizokutajia waislamu ni wachache sana haiwezekani kufungia hicho kitabu jibidiishe mkuu utakipata kama kweli unakitaka lakini kwa nchi kama omani au iran inawezekana huwezi kupata kwasababu huko waislamu ni wengi lakin kwa baba mtakatifu ( Roma) utakikuta kaka Jitahidi
Tuko pamoja mkuu tutakutana kwenye mijadala mingineSawa mkuu, mshahara
Nimekupata Vyema.
Nakupongeza kwa busara zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuuHuyu jamaa aliyeuliza ametaka maulamaa wafafanue sasa inakuwaje Watu mnaojipa vyeo mfafanue tulien watu wfafanue siyo kila mtu anakuwa kiherehere
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha wewe unapiga misumari sana kwenye mijadala yako.Tuko pamoja mkuu tutakutana kwenye mijadala mingine
Hebu tueleze chimbuko letu wanadamu kwa uelewa wako!unaendelea kuamini fairytales za hivyo vitabu
hakuna kitu kama hicho kilitokea
hilo tukio supposedly lilitokea miaka 5000 iliyopita,africa farao wa kwanza alikuwepo miaka 10,000 iliyopita
bado tu unaamini adama na eva ndio chimbuko lako?!!!!
sijui lakini hekaya za kwenye quran na biblia ni feki hata mtoto mdogo aliye huru kifikra anaweza kuliona hiloHebu tueleze chimbuko letu wanadamu kwa uelewa wako!
Hujui.sijui lakini hekaya za kwenye quran na biblia ni feki hata mtoto mdogo aliye huru kifikra anaweza kuliona hilo
Ahahahhahahahhhahahahahaha tupima uwezo wa vijana kudadavua mamboHahahahaha wewe unapiga misumari sana kwenye mijadala yako.
Mimi sikuwezi wewe kwenye mijadala ya Dini, kwani mimi sijasoma kabisa mafundisho Dini ya Kiislamu.
Kule kwetu Peramiho Uislamu hatutilii maanani kabisa, hata ukikiona kitabu cha Qurani kimewekwa mahali huwezi kukigusa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...kukamatwa kwa Nabii Tito nako unakuzungumziaje mkuu?Mimi silalamiki Bosi wangu ila nataka kuondoa mashaka ambayo wapinga Uislamu wanayaonesha.
Kama kweli Uislamu hauna mashaka kwanini basi hata huko Irani na Omani wakifungie hicho kitabu ?
Hicho kitabu kwa taarifa yako kimepigwa marufuku dunia nzima hata hapa Tanzania.
AU unaweza kunionesha duka ambalo hicho kitabu kinauzwa hapa Afrika Mashariki nikakinunue ?
Nina uhakika hakuna duka hilo kabisa. Unajua ni sababu gani ?
Kitabu hicho ukikutwa nacho popote na ukaonekana na ukaripotiwa Polisi, unakamatwa kwa kosa la Jinai na unaadhibiwa vikali.
Waislamu wa siasa kali wakikuona nacho popote pale sijui kama hata huko Polisi utafika maana hicho kisago utakachoshushiwa sio cha kubaki hai tena.
Ndio maana huoni popote mtu amekishika hicho kitabu.
Wanaogopa usalama wao kutoweka.
Sasa ndio nauliza tu hiyo nguvu yote ya kukificha ni ya nini ?
Inaoneka kuna ukweli na haitakiwi watu waujue huo ukweli.
Vitabu vinavyokashifu Biblia na Ukristo viko vingi tu mbona havipigwi marufuku popote duniani na vinabaki kukosa soko na kupotea.
Kwanini Satanic Verses inalindwa kwa nguvu kubwa namna hii ili isisomwe na watu ?
Kwanini kiachwe tu kiuzwe na kwakuwa kinasema huo uwongo kitaishia kukosa soko na kupotea chenyewe.
Kama kweli kinasema uwongo ?
Woga unatoka wapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nabii Tito alikuwa ananywesha watu Pombe kwenye ibada zake kinyume na maombi aliyoomba katika usajiri wake..Hahaha...kukamatwa kwa Nabii Tito nako unakuzungumziaje mkuu?
Hahha nime cheka kinyamaHuyu jamaa aliyeuliza ametaka maulamaa wafafanue sasa inakuwaje Watu mnaojipa vyeo mfafanue tulien watu wfafanue siyo kila mtu anakuwa kiherehere
Sent using Jamii Forums mobile app
Proove that??Maana hata jina lake LA kuzaliwa si ajabu hulijui,jina lake la kuzaliwa si yesu kristo,wala yesu wa nazareth,Wala masihi!!Haya majina yalikuja baadae,ila jina lake alilopewa Baada ya kua amezaliwa walijua??ILa nna uhakika siyo YESU KRISTO MNZARETH
Na ukisema ana baba itakubidi ufuate ukoo wa baba yake chimbuko lao ni Wapi,kwa manabii wengine inatambulika chain kubwa ya UNABII inaanzia kwa Baba wa Iman nabii IBRAHIMUIssa hana baba ulitaka aitwe kwajina la baba yupi wakati ndivyo Allah alivyopanga?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza kabisa niwaweke waz kwamba huyo Isah bin maryam ni mtu tofauti kabisaaa na Yesu kristo.....in short Yesu kristo ni level nyingine kabisa na mziki wake duniani unaeleweka yaani ukilitaja hilo jina kwa mtu mwenye majin ndo utajua vzr jns majin yapatavyo tabu but kuhusu Issah ni hadith inayotia shaka kwakweli
Kma ndivyo basi Adam ilipaswa awe Mtoto wa kwanza wa mungu,right?!!Kwa s'bu issue si kwamba Issa alizaliwa!?Issue ni kwamba wote waliumbwa na mwenye-enzi ingawa ujio wao ndio ulikua tofauti but that doesn't justify Jesus is the son of God,Jesus IS THE WORD OF GOD kwa maana mwenye-enzi huamuru kitu kiwe(mwa kauli) kisha kikawa na tafasiri ya Baba inayotumika hapa ni ndogo/finyu sanaaUkiwaambia kwanini wasimuite Issa bin Allah, watajibu Allah hajazaa wala hajazaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
What is your basis on this??Jina la Yesu ni kubwa kweli, lakini halijawahi kuthibitika kufanya kazi katika jambo lisilokuwepo.Imethibitika jina hilo kuyapunga mapepo na sio majini.Hakuna kitu kinaitwa majini isipokuwa mapepo.Majini, ni myths za kiislamu na vitu ambavyo havipo kabisa, zaidi ya kujilisha upepo tu.