Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,157
- 13,983
Sawa mkuu, mshaharaNdugu yangu ata Roma wamekipiga marufuku? au ata marekani au uingereza wamekipiga marufuku mkuu acha masikhara aisee ww kitafute utakipata hizo nchi nilizokutajia waislamu ni wachache sana haiwezekani kufungia hicho kitabu jibidiishe mkuu utakipata kama kweli unakitaka lakini kwa nchi kama omani au iran inawezekana huwezi kupata kwasababu huko waislamu ni wengi lakin kwa baba mtakatifu ( Roma) utakikuta kaka Jitahidi
Nimekupata Vyema.
Nakupongeza kwa busara zako.
Sent using Jamii Forums mobile app